Bahili kiboko!

Bahili kiboko!

Yako kali sanaaaaaaa!
Kwa kuokoa nafasi ipo nyengine ya bahili:
Jamaa aliingia chooni kumwaga vitu. Wakati ananyanyuka kuvaa suruali, senti hamsini ikadondoka kwenye kinyesi.
Pesa anaitaka lakini kutia mkono kwenye shonde noma. Alitafakari kwa nusu saa vipi ataiopoa sumni yake.
Baadaye akapata wazo. Akatoa shilingi moja akaidondosha kwenye shonde huku anajisemea:
"Sasa inalipa kutia mkono humu kwani nitakuwa nimeokoa shilingi moja na sumni".
 
BAHILI;Ndizi moja sh.ngapi? MUUZAJI;Ndizi moja sh.100. BAHILI;Nipe kwa sh.60. MUUZAJI;Kwa sh.60 utapata maganda tu. BAHILI;Shika hii sh.40,nipe ndizi,hayo maganda ya sh.60 yatoe siyataki!

bajeti inagomba akili inakuja sana tu ya kusavaivu kimagumashi jamaa kanichekesha
 
hapana wamasai ndo walidai kuuziwa soda kwa kuomba kupimiwa soda ya shilingi 50 wakati huo soda inauzwa shilingi 150
Hapana,wapare ndo hupika samaki halafu wanamimina mchuzi tu,samaki wanamhifadhi kwa ajili ya kumchemsha tena siku inayofuata.
 
Wakuu musipate tabu maana mie ndio muuzaji...nilimjibu kama ifuatavyo..."kaa pembeni subiri aje mteja wa maganda kisha wewe ununue ndizi maana tunauza kwanza maganda kisha ndizi"...najua kwa ubahili wake lazma akamtafute mtu ampe hiyo tshs 60 anunue ganda then nimuuzie ndizi...mibahili nayo kwa usumbufu
 
Back
Top Bottom