Kiminyio 01
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 1,352
- 1,932
Kaoe ujueHiyo sio faida kwangu. Kuna nyingine tofauti na hiyo ?
Kaoe ujueHiyo sio faida kwangu. Kuna nyingine tofauti na hiyo ?
Kuna mzungu na chat nae hapa kimalkia ila anavunja utafikiri wanzuki. Ila yeye anatokea Switzerland.Kaoe ujue
Utupe mrejesho.Kuna mzungu na chat nae hapa kimalkia ila anavunja utafikiri wanzuki. Ila yeye anatokea Switzerland.
Mkuu samahani naomba nijibu hapa hapa.Picha zenye vigezo vinavyotakiwa, particulars zako sahihi pamoja na wanaokuhusu i.e Watoto na Mke iwapo unao basi.
Swali lingineHabari Waungwana.
Naam,
Kwa wafuatiliaji wapya:
DV-Lottery nini?
Ni aina ya pekee ya Bahati Nasibu itakayokupatia Kibali/Viza ya Kuhamia/Kuishi Marekani upendavyo.
Hutolewa kwa Raia wa Nchi kadhaa tu zilizoainishwa kwa sababu maalum na kwa kwa watu wenye vigezo maalum.
Maelezo na michango ya Wadau ya kuongeza ufahamu wako toka kwa wadau wa hapa JF, Tembelea:
Bahati nasibu ya kuhamia Marekani-dv 2020 imeanza rasmi
TAARIFA MPYA DV-2023 PROGRAM INAANZA RASMI KUCHEZWA TAREHE 6/10/2021, MWISHO NI TAREHE 9/11/2021. JIANDAE MAPEMA NA CHEZA MAPEMA. HAISHAURIWI KUSUBIRIA TAREHE ZA MWISHONI. UKIPENDA KUJUA NININI HASA HII PROGRAM INAHUSISHA, MASHARTI,VIGEZO NA TARATIBU ZA KUFUATA IKIWEMO FAIDA ZA KUSHIRIKI NA...www.jamiiforums.com
HOJA YA MSINGI MWAKA HUU HUENDA UKALAZIMIKA KUWA NA HATI YA KUSAFIRIA NDIPO USHIRIKI.
Tufahamishane kwa wale ambao hawana taarifa hadi sasa,
Ni kuwa imetoka taarifa kuwa imepetendekezwa kufanyika marekebisho/maboresho kidogo katika taarifa zinazohitajika kwa mchezaji wa Bahati nasibu hii kwa mwaka huu 2019 Oct.
Kwaajili ya Programu inayotambulika kama DV-2021.
Kwa kila Muombaji mkuu
(Principal Applicant) atalazimika aweke taarifa za Hati ya kusafiria.
Hivyo iwapo ungependa mwenza wako nae acheze pekeyake akikujumuisha nawe pia atalazimia kuwa na Hati ya kusafiria vilevile.
Ieleweke:
Ni taarifa ya mapendekezo ambapo yakipitishwa rasmi itatangazwa na kuwa utaratibu rasmi wa kufuatwa wakati wa kucheza mwaka huu.
Mwaka jana na miaka kadhaa iliyopita Mchezaji wa Bahati nasibu hii hakuhitajika kuwa nayo/kuweka taarifa za Hati ya kusafiria (Passport) wakati wa mwanzo wa kucheza (Electronic registration)
Kwanini nimeleta Uzi huu mapema Hii?
Nadhani pengine nimechelewa pia, kwani najua ilivyo changamoto upatikanaji wa Hati ya kusafiria(Passport) kwa hapa kwetu.
Ikumbukwe Dirisha la BAHATI NASIBU Hii huwa linafunguliwa tarehe za mwanzo za mwezi wa kumi na uchezaji unadumu kwa Mwezi mmoja tu hivyo, Naamini kwa ambae anayo Nia ya kushiriki mwaka huu atakuwa na wasaa wa kufuatilia Hati katika muda huu uliobaki kuliko kusubiri hadi siku za mwisho.
Dokezo:
Kigezo cha Hati kinadhaniwa huenda kitapunguza wachezaji kanjanja na wasio na Nia ya dhati kushiriki hivyo pengine kuongeza nafasi ya kufanikiwa kwakuwa idadi itapungua ya wachezaji.
Maswali ya tu,
Namba yangu Ipo kwenye link hapo JUU.
Nawasilisha.
Swali lingine
Picha ziwe na size maximum KB au mb ngapi??
Asante.
Ndugu naogopa vya bure huwa vinagharama .
Kwa akili hizi sidhan kama tutakosa kuletewa posa na jay ziiiKulala nje ya stend ya treni ya USA ni tofauti na kulala nje ya stand ya treni ya Kigoma....
Wacha tujilipue, tukale bata na kina Breez, na kina Lily Wezzzy bongo nyooooooso
Mkuu ikitoka fursa hii tujulishane 2021,msaada nmna ya kucheza pia naaombaa kuupata
Sawa ngoja tujipangeJiandae program ya 2023 inaanza wiki ya kwanza ya mwezi wa kumi yaani octoba, 2021.
Chamsingi uwe na passport kwa (muombaji mkuu),
Picha ya passport-size pamoja na picha za mke/mume na watoto iwapo unao na wenye umri chini ya miaka 21.
Vilevile kumbuka iwako mkeo nae anavyo vigezo vya elimu au uzoefu wa kazi kama inavyotakiwa mnaweza kucheza wote kila mmoja kama muombaji mkuu na hivyo kuongeza nafasi ya kuweza kufanikiwa kwa wote wawili.