Bahati Bukuku amuimbia Lowassa wimbo

Bahati Bukuku amuimbia Lowassa wimbo


Nani kwakwambia kuwa hili jambo haliniusu?

Bahati bukuku alijipambanua kuwa ni muimba nyimbo za Mungu na tumekuwa tukinunua CD as to sacrifice to Gog. Sasa leo baada ya kupata umaarufu kutokana na sadaka zetu ndo aje kusifia watu wasiostaili ata kuitwa muumini sembuse kumfananisha na Mfale Daudi au Sulemani?

Ni bora sasa Bukuku ajitangaze rasmi kuwa yeye ni mfanya biashara wa mziki kama kina Jide na Dimond ili aandaliwe show na Clouz FM, na sio kujificha nyuma ya kanisa na kuja kuza CD zake kwenye mikutano ya Injili na ndani ya makanisa.
Vilio vya chura majini hayamzuii ng'ombe kunywa maji. Hajatenda kosa lolote.
 
Huu Wimbo Nimeusikia Muda Si Mrefu Jinsi Anavomsifia Lowasa Lakini Sijajua Nianze Kusema Nini
Ni Lowasa Anamjua Sana Mungu

Maana Nimesikia Akisema Lowasa Atatawala Kwa Amani, Lowasa Amepakwa Mafuta, Lowasa Yupo Kama Mfalme Suleimani
Udini Au Ni Njaa Tu Au Ndo Viti Maalumu

Utafuteni Muusikilize



Nguvu ya pesa.
 
Huu Wimbo Nimeusikia Muda Si Mrefu Jinsi Anavomsifia Lowasa Lakini Sijajua Nianze Kusema Nini
Ni Lowasa Anamjua Sana Mungu

Maana Nimesikia Akisema Lowasa Atatawala Kwa Amani, Lowasa Amepakwa Mafuta, Lowasa Yupo Kama Mfalme Suleimani
Udini Au Ni Njaa Tu Au Ndo Viti Maalumu

Utafuteni Muusikilize



Kazi ya kutafuta urais kwa nguvu ya pesa inaendelea. Tusubiri tuone sinema itakavyokwisha
 
Kwani hadi sasa Bahati Bukuku hajulikani? Mipaka gani? Ni nani aliyekuambia kama umamwimbia Mungu haruhusiwi kuimba nyimbo za kidunia hata kumsifia binadamu mwenzako? Tafakari kwanza kabla ya kulaumu.

Makwetu...., kwa hili bahati hakufanya vyema.! Anasema kaokoka na anatoa ushuhuda kupitia injili.sasa huu ndo urumbo gani.?! Angalau angetunga wimbo kumsifia bila kumfananisha na manabii ...nabii suleyman ukamfananishe na mwivi yule...! Kwa bahati Wokovu ni sifa na kuimba ni biashara.!
 
Huu Wimbo Nimeusikia Muda Si Mrefu Jinsi Anavomsifia Lowasa Lakini Sijajua Nianze Kusema Nini
Ni Lowasa Anamjua Sana Mungu

Maana Nimesikia Akisema Lowasa Atatawala Kwa Amani, Lowasa Amepakwa Mafuta, Lowasa Yupo Kama Mfalme Suleimani
Udini Au Ni Njaa Tu Au Ndo Viti Maalumu

Utafuteni Muusikilize



Hii Njaa ya kuutaka urais sijui inatoka wapi. Watanzania tuwe makini na watu wa aina hii. Tusikubali kuburuzwa na wasaka tonge.
 
Kwani hadi sasa Bahati Bukuku hajulikani? Mipaka gani? Ni nani aliyekuambia kama umamwimbia Mungu haruhusiwi kuimba nyimbo za kidunia hata kumsifia binadamu mwenzako? Tafakari kwanza kabla ya kulaumu.
Naona wewe umetafakari kwanza na ukaandika hicho ulichoandika......
Injili na nyimbo za kidunia???? kwa mkristo atakuwa ameelewa nin maana ya mipaka....kila kitu kina ukomo, hakuna kitu ambacho kina uhuru: ndio maana kuna muziki wa injili, na usio wa injili (kidunia), no common point between the two....(immiscible), shida ya huyu Bukuku ni kuushawishi umma kumkubali lowasa kwa kigezo eti ni kama mfalme suleimani....anamfahamu suleimani au anahadithiwa tu??? kama Mungu kasema iwe itakuwa tu na kama siyo haitakuwa hakuna haja ya kumtungia wimbo na kumfananisha na mfalme suleimani....Mfalme Suleimani ni 'level' nyingine kabisa!
 
Makwetu...., kwa hili bahati hakufanya vyema.! Anasema kaokoka na anatoa ushuhuda kupitia injili.sasa huu ndo urumbo gani.?! Angalau angetunga wimbo kumsifia bila kumfananisha na manabii ...nabii suleyman ukamfananishe na mwivi yule...! Kwa bahati Wokovu ni sifa na kuimba ni biashara.!

big up sana mkuu, watu wanadhani wokovu ni kirahi tu....si kila mwimba injili kaitwa na Mungu, wengine wana yao.
 
Huu Wimbo Nimeusikia Muda Si Mrefu Jinsi Anavomsifia Lowasa Lakini Sijajua Nianze Kusema Nini
Ni Lowasa Anamjua Sana Mungu

Maana Nimesikia Akisema Lowasa Atatawala Kwa Amani, Lowasa Amepakwa Mafuta, Lowasa Yupo Kama Mfalme Suleimani
Udini Au Ni Njaa Tu Au Ndo Viti Maalumu

Utafuteni Muusikilize




Umetiririka vizuri ila umelazimisha Bukuku aonekane yupo sahihi kwa alichofanya: je kwa kipi Lowassa amefanana na mfalme Suleimani??? msanii yoyote hawez kurupuka tu na kumwimbia mtu fulani lazima kuna 'ulaji' mkuu....
 
Mwaka huu mpaka uchaguzi uishe tutaona na kusikia Mengi sana,,,
 
Narudia tena!
Maana kuna watu wanajifanya njuguyugu hawataki kuelewa!
=========
Bahati Bukuku hana kosa, ni haki yake kumuimbia na kumsifia Lowassa, Ibara ya 18 ya katiba inamruhusu. Acheni umbea na hoja za kijinga. yani leo kwasababu kamuimbia na kumsifu Lowassa ndio amekosea. Mchungaji Msingwa anaisifia CDM na kuihubiri kwenye majukwaa mbona hamjahoji kwanini Mchungaji anakihubiri na kukisifia chama chake wakati yeye ni Mhubiri wa neno la Mungu? Mbona hamjahoji kwanini mchungaji mama Lwakatare anaihubiri na kuisifia CCM wakati yeye ni mhubiri wa neno la Mungu? Watu wazima mnakalia umbea umbea tu. Kama hamjawanyoshea kidole Mchungaji Msigwa, Mchungaji Mama Lwakatare na wengine wote mnaowafahamu, hamna haki ya kumnyoshea kidole Bahati Bukuku, inahitajika mtu mwenye mapungufu ya kifikra kubagua watu hao wa Mungu na kuchagua kuona yupi ana haki na yupi hana haki. Bahati ana haki kama hao watu wa Mungu ambao mmewaangalia miaka yote bila kuwanyoshe kidole. Lowaassa "Kila jaribu ulilopitia maishani mwako, kumbe umebeba majibu ya wengi! – Bahati Bukuku.
==========
Taarifa kwa Wote ule mkutano mkubwa wa aina yake nchini wa mhe. edward Lowassa uliotarajiwa kufanyia tar 16 uwanja wa Amani Arsuha umeahirishwa, utatangazwa tena badae. poleni kwa usumbufu wowote uliojitokeza. Wajulishe na ambao bado hawana taarifa ya kuahirishwa kwa mkutano Huo
 
yeye kama msanii anahaki ya kuimba atakacho ebooo..angemsifia W.slaa angepatia eti eee..piga hela bahati; jina lenyewe bahati patamu hapo
 
Huu Wimbo Nimeusikia Muda Si Mrefu Jinsi Anavomsifia Lowasa Lakini Sijajua Nianze Kusema Nini
Ni Lowasa Anamjua Sana Mungu

Maana Nimesikia Akisema Lowasa Atatawala Kwa Amani, Lowasa Amepakwa Mafuta, Lowasa Yupo Kama Mfalme Suleimani
Udini Au Ni Njaa Tu Au Ndo Viti Maalumu

Utafuteni Muusikilize



Tunaomba lyrics halali za huo wimbo.Kama huna huku ni kuchafuana tu kusiko na msingi..
 
Jakaya aliimbiwa na wasanii kibao...... kuna wimbo unaitwa Jah Kaya........ baaada ya uchaguzi kuisha msanii huyo huyo akaanza kulalama maisha magumu.
 
Kwani hadi sasa Bahati Bukuku hajulikani? Mipaka gani? Ni nani aliyekuambia kama umamwimbia Mungu haruhusiwi kuimba nyimbo za kidunia hata kumsifia binadamu mwenzako? Tafakari kwanza kabla ya kulaumu.

Kuna kaunafiki flan hivi walokole wanako. Nawajua sana. Samahan lakini
 
Hata angemuimba mchungaji wake angekuwa amekosea sana maana anayetakiwa kuhubiriwa ni Yesu mwanaume aliyeweza aliyewza kuufia ulimwengu na kubeba dhambi za ulimwengu peke yake narudia peke yake
 
Huu Wimbo Nimeusikia Muda Si Mrefu Jinsi Anavomsifia Lowasa Lakini Sijajua Nianze Kusema Nini
Ni Lowasa Anamjua Sana Mungu

Maana Nimesikia Akisema Lowasa Atatawala Kwa Amani, Lowasa Amepakwa Mafuta, Lowasa Yupo Kama Mfalme Suleimani
Udini Au Ni Njaa Tu Au Ndo Viti Maalumu

Utafuteni Muusikilize




Sidhani kama alikuwa anaongozwa na roho.
 
Back
Top Bottom