Bagamoyo na Katavi: Are they New Centres of Gravity ya Uchumi wa Tanzania?

Jan 18, 2013
51
47
Kila kukicha unasikia mipango mipya ya maendeleo ya Serikali itatekelezwa au kuanzia Bagamoyo na kumalizikia Katavi. Mfano ni hii ifuatayo:

1. Ujenzi wa chuo kipya cha IFM utafanywa eneo la Kiwangwa (jirani kidogo na shamba la mananasi la JK): IFM (kupitia TBC)
2. Ujenzi wa chuo kipya cha marubani: Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA)
3. Uchimbaji na ujenzi wa bandari mpya huku zile za Mtwara, Kilwa, Tanga zikiachwa: TPA
4. Ujenzi wa kituo kikubwa cha kimataifa cha biashara: Phillip Marmo, Balozi wetu China (juzi tu)
5. Ujenzi wa barabara ili mabasi na malori yote ya kwenda kaskazini na nchi jirani yapitie Bagamoyo: TANROADS
6. EPZ and SEZ development zones: EPZ Authority
7. Ujenzi wa airport: TAA
8. Miradi ya TASAF nk inaanzia Bagamoyo km pilot: TASAF
9. Maendeleo ya Katavi yanajulikana ikiwa ni pamoja na ujenzi wa haraka wa airport na hivi karibuni kulazimisha "mwekezaji mzawa" kuomba guarantee ya Serikali ili akope pesa kujengea chuo kikuu kipya Katavi. Lakini Wizara ya Fedha imemkatalia hyo "mwekezaji mzawa" kwa kuzingatia Sheria ya Government Guarantee, Loan and Grants Act of 1974 (amended 2003).
attachment.php
attachment.php

Watu wa Mtwara kudai gesi ilikuwa inaelekezwa Bagamoyo ilikuwa ni ya kweli kwa kuzingatia kwa sasa Bagamoyo ndio "Centre of Gravity" ya uchumi na mipango ya maendeleo TZ? Sitaki kuamini kila rais na PM ataendelea kufanya hivi!!!
 

Attachments

  • Gesi_Bagamoyo1.JPG
    Gesi_Bagamoyo1.JPG
    109.1 KB · Views: 194
It is a naked true that our president is twisting the economic platform towards his homeland. This sounds so selfish!
 
kama hujaelimika hata ukiwekewa kila kitu kwako hutoweza kukiendesha...angehamasisha kwanza waache uzinzi na ngoma waende shule...kila kitu kinakuwa backed na history.
 
Utawala wa majimbo ndio suruhisho,duniani kote siku hizi ni majimbo,hata jirani zetu Kenya nao sasa wameanzisha ajimbo,kuna magavana,maseneta n.k.
Nasubiri kuwa gavana wa jimbo la Kyela,nawasilisha hoja,nikiwa gavana gesi na mafuta yatakayopatikana Kyela yatajengewa viwanda hapo hapo Kyela na mabomba yataenda Sauzi !
 
It is a naked true that our president is twisting the economic platform towards his homeland. This sounds so selfish!

wanaanda makazi ya watawala wa awamu ya nne ili wapumzike salama.wanamsemo wao .....zamu yetu
 
Bagamoyo,Katavi:sio Tanzania hata wasistahili maendeleo hayo tajwa na mengineyo... ?

Ndio maana watu wa Mtwara wanataka gesi ibaki kwao. Mbona mlikuwa mnawashangaa wanakusini? but ina-set precedence mbaya kwa viongozi wajao na kupandikiza chuki za kimaeneo.
 
Bagamoyo,Katavi:sio Tanzania hata wasistahili maendeleo hayo tajwa na mengineyo... ?

Hatusemi wasipate na wao maendeleo, tunachotaka kuwe na uwiano sawa na maeneo mengune. Nipo katav barabara zinajengwa usik na mchana, tena wamepewa makandaras zaidi ya watano. Uwanja wa ndege wa nn wakat hakuna cha maana huku? Hiv hatuna vipaumbele? Sasa kila kiongoz anavutia kwake sasa kama kigoma wakikosa rais/pm watapataje maendeleo? Waache upendeleo wawe na vipaumbele vya nchi
 
Mtwara wameapa gesi asilia haitoki mpaka mtu wa mwisho kupigwa risasi ndipo gesi iondoke kwa sasa wasahau.
 
Hatusemi wasipate na wao maendeleo, tunachotaka kuwe na uwiano sawa na maeneo mengune. Nipo katav barabara zinajengwa usik na mchana, tena wamepewa makandaras zaidi ya watano. Uwanja wa ndege wa nn wakat hakuna cha maana huku? Hiv hatuna vipaumbele? Sasa kila kiongoz anavutia kwake sasa kama kigoma wakikosa rais/pm watapataje maendeleo? Waache upendeleo wawe na vipaumbele vya nchi
tunaelekea njia ya kenya,unapigiwa kura kuwa rais baada ya kuthibitisha ktk utawala wako,kabila letu ama jimbo letu litapewa ulaji gani... matokeo makabila makubwa yatakua yanaungana na kujipangia namna yatagawana wizara zote nyeti baada ya uchaguzi!
 
Mimi sioni Tatizo la Kuendeleza Bagamoyo couse ni part ya TZ. mbona mikoa mingine ilyo kuwa inaendelea mlikuwa kimya? ebu tuache ummimi tuendeleze taifa letu.
 
Kila kukicha unasikia mipango mipya ya maendeleo ya Serikali itatekelezwa au kuanzia Bagamoyo na kumalizikia Katavi. Mfano ni hii ifuatayo:

1. Ujenzi wa chuo kipya cha IFM utafanywa eneo la Kiwangwa (jirani kidogo na shamba la mananasi la JK): IFM (kupitia TBC)
2. Ujenzi wa chuo kipya cha marubani: Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA)
3. Uchimbaji na ujenzi wa bandari mpya huku zile za Mtwara, Kilwa, Tanga zikiachwa: TPA
......

mbona kichwa cha habari ni tofauti na habari yenyewe?
 
It is a naked true that our president is twisting the economic platform towards his homeland. This sounds so selfish!


Huu ni upuuzi. There is nothing in Bagamoyo zaidi ya magofu ya utumwa, yeye anataka kulazimisha watu watafute sababu ya kwenda huko. This is very wrong. Je akija rais mwingine akifanya haya ya JK ataitwaje, mbaguzi ama?
 
Ndio maana watu wa Mtwara wanataka gesi ibaki kwao. Mbona mlikuwa mnawashangaa wanakusini? but ina-set precedence mbaya kwa viongozi wajao na kupandikiza chuki za kimaeneo.

Mkuu uko sahihi.Tatitizo lipo pale inapojengeka nadharia ya unapokuwa kiongozi chochote utakachofanya kwenu kinatafsiriwa ni upendeleo.Mbona hata hivyo bado wanafanya maendeleo mengine sehemu ambazo sikwao?Katavi na Bagamoyo nazo ni Tanzania.Zinahitaji maendeleo.Zinaonekana ziko nyuma kwakuwa zilisahaulika kipindi cha tawala zilizopita?
 
Hatusemi wasipate na wao maendeleo, tunachotaka kuwe na uwiano sawa na maeneo mengune. Nipo katav barabara zinajengwa usik na mchana, tena wamepewa makandaras zaidi ya watano. Uwanja wa ndege wa nn wakat hakuna cha maana huku? Hiv hatuna vipaumbele? Sasa kila kiongoz anavutia kwake sasa kama kigoma wakikosa rais/pm watapataje maendeleo? Waache upendeleo wawe na vipaumbele vya nchi

Pamoja mkuu.Vipau mbele vya nchi vinawahusu wananchi.Katavi na Bagamoyo nayo ni sehemu ya nchi.Unakuona Katavi au Bagamoyo hakuna kitu cha maana kwakuwa hakukupewa kipaumbele katika kipindi kilichopita.Acha na wao wakumbukwe kama maeneo mengine yalivyofanyiwa
 
Back
Top Bottom