Hii hapa Miradi mikubwa ya Maendeleo inayoendelea na utekelezwaji Mkoani Ruvuma

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,051
49,734
Mtu akikuuliza ni miradi gani ya Maendeleo Inayotekelezwa na Rais Samia Tanzania,jibu lake ni rahisi sana.

Miradi ni countless na unaweza itaja vizuri Kwa kuangalia Mkoa mja baada ya mwingine.

Naendelea na makala zangu za kuweka orodha ya miradi mikubwa iliyokamilishwa na inayoendelea kujengwa na Serikali ya Samia.Leo ni zamu ya Ruvuma.

Ruvuma mumependelewa sana na mama labda Kwa sababu mna viongozi wengi sana Kwenye Serikali yake.

Ifuatayo ni Baadhi tuu ya Miradi mikubwa ambayo Inatekelezwa Mkoani Ruvuma.

-Ujenzi wa Barabara Mpya kutoka Songea-Ifakara via EPC+F
-Ukarabati wa Barabara ya Songea-Makambako
-Ujenzi wa barabara Mpya ya lami Songea-Amanikoro-Mozambique Border
-Ujenzi wa barabara ya lami Kitai-Lituhi-Ndumbi Port
-Ujenzi wa Majengo ya Utawala kwenye Halmashauri zote
-Ujenzi wa Bandari Mpya ya Mbamba Bay
-Ujenzi na ufungaji wa taa uwanja wa ndege Songea
-Ujenzi wa barabara za Manispaa Kupitia Tactic Songea MC na Mbinga TC
-Ujenzi wa Chuo Kikuu kipya Cha Songea
-Ujenzi wa Tawi la Chuo Cha Uhasibu Cha Arusha- Songea
-Ujenzi wa Hospital za Wilaya,Vituo vya afya na ukarabati wa hospital kongwe
-Ujenzi wa Hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma
-Ujenzi wa njia ya Umeme wa 220KV kutoka Songea-Tunduru pamoja na Tunduru Substation
-Ujenzi wa Mradi mkubwa wa Maji Manispaa ya Songea ,over 145bln
-Ujenzi wa Mradi mkubwa wa Maji Mbinga
-Ujenzi wa Standing Mpya ya Mabasi Peramiho
-Ujenzi wa maghala ya kuhifadhia mazao.Zaidi ya maghala ya Kisasa 12 yanajengwa na Ruvuma ndio Ina maghala mengi Tanzania nzima.
-Ujenzi wa kongani ya viwanda Songea
-Uwekezaji wa mashamba makubwa ya kibiashara-Block farming
-Ujenzi wa Shule Mpya 23 za Sekondari.
-Ujenzi wa kiwanda Cha Sukari Songea,zaidi ya Bil.500
1705150479689.jpeg

RUVUMAMradi wa ujenzi wa laini ya msongo wa 220kV kutoka Songea hadi Tunduru na ujenzi wa Kituo cha kupozea umeme cha Tunduru unaendelea kutekelezwa ambao unahusisha ujenzi wa Kilomita 214.5 za laini ya msongo wa Kilovolti 220kV na kituo cha kupozea umeme cha Tunduru.

Kiufupi Mama anakimbiza sana Kwenye miradi na ndio maana nasema siku zote hakuna Rais amewahi kumwaga miradi Mingi ya Maendeleo Kwa Wingi kama Samia Toka Tanzania imeumbwa na Iko hivyo Nchi nzima.

Mungu mbariki Samia Ili kazi iendelee 👇

View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1746504842749632995?t=Cs7I_RkzdhJAnAvXxh_IdQ&s=19
 
Lot 4 ndio wapi huko? Makutopola Iko wazi mkandarasi wa Mwendazake Yapi Merkez kafilisika ,sorting ya mambo inaendelea.Hata hivyo kazi hazijasimama ujenzi wa njia za umeme unaendelea.
Sikiliza hiyo kazi ya umeme ilishaisha hiyo lot2 imeishia hapo makutupora na lot 3 inaanzia makutupora mpaka tabora mjini, lot 4 ni kutokea tabora mjini mpaka isaka, sasa hapo kazi gani inaendelea kama unasema mkandarasi kafilisika na hivyo vipande ni vya huyo huyo unayekubali kafilisika?.
Huko site hakuna mashine ata moja inayoendelea na chochote kwenye ujenzi TRC na Korail wanalijua hilo sasa wewe unaamisha watu kazi inaendelea ni ipi hiyo?.

Nitake radhi kwa kumuhusisha mzee wangu na kusimamisha huu mradi mkuu.
 
Wewe nyumbu,kazi zinaendelea lot zote hakuna kilichosimama hata uwange Kwa Kunya njiapanda imekukata.

View: https://youtu.be/4JlUCgIygeA?si=9wBMyEpF3WDr9K2B

Kweli ukiwa chawa na akili zinakuwa kama za chawa ndogo sana yaani ni punje tu, Ngoja niwaombe picha watu waliokuwa wapo kwenye huo mradi ambao wamesimamishwa na wamerudi majumbani kwa vile hakuna linaloendelea na kwa mujibu wao zoezi la kupunguza wafanyakazi linaendelea watanzania na waturuki wengi wanarudi makwao, sasa endelea kubwabwaja hapa lakini hauwezi kuongopea watu wote humu na hizo propaganda zako.
 
Unavyo shupaza shingo kumsifia utafikiri hayo mabilioni anayatoa kwenye kilemba chake.
 
Mtu akikuuliza ni miradi gani ya Maendeleo Inayotekelezwa na Rais Samia Tanzania,jibu lake ni rahisi sana.

Miradi ni countless na unaweza itaja vizuri Kwa kuangalia Mkoa mja baada ya mwingine.

Naendelea na makala zangu za kuweka orodha ya miradi mikubwa iliyokamilishwa na inayoendelea kujengwa na Serikali ya Samia.Leo ni zamu ya Ruvuma.

Ruvuma mumependelewa sana na mama labda Kwa sababu mna viongozi wengi sana Kwenye Serikali yake.

Ifuatayo ni Baadhi tuu ya Miradi mikubwa ambayo Inatekelezwa Mkoani Ruvuma.

-Ujenzi wa Barabara Mpya kutoka Songea-Ifakara via EPC+F
-Ukarabati wa Barabara ya Songea-Makambako
-Ujenzi wa barabara Mpya ya lami Songea-Amanikoro-Mozambique Border
-Ujenzi wa barabara ya lami Kitai-Lituhi-Ndumbi Port
-Ujenzi wa Majengo ya Utawala kwenye Halmashauri zote
-Ujenzi wa Bandari Mpya ya Mbamba Bay
-Ujenzi na ufungaji wa taa uwanja wa ndege Songea
-Ujenzi wa barabara za Manispaa Kupitia Tactic Songea MC na Mbinga TC
-Ujenzi wa Chuo Kikuu kipya Cha Songea
-Ujenzi wa Tawi la Chuo Cha Uhasibu Cha Arusha- Songea
-Ujenzi wa Hospital za Wilaya,Vituo vya afya na ukarabati wa hospital kongwe
-Ujenzi wa Hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma
-Ujenzi wa njia ya Umeme wa 220KV kutoka Songea-Tunduru pamoja na Tunduru Substation
-Ujenzi wa Mradi mkubwa wa Maji Manispaa ya Songea ,over 145bln
-Ujenzi wa Mradi mkubwa wa Maji Mbinga
-Ujenzi wa Standing Mpya ya Mabasi Peramiho
-Ujenzi wa maghala ya kuhifadhia mazao.Zaidi ya maghala ya Kisasa 12 yanajengwa na Ruvuma ndio Ina maghala mengi Tanzania nzima.
-Ujenzi wa kongani ya viwanda Songea
-Uwekezaji wa mashamba makubwa ya kibiashara-Block farming
-Ujenzi wa Shule Mpya 23 za Sekondari.
-Ujenzi wa kiwanda Cha Sukari Songea,zaidi ya Bil.500
View attachment 2870552
RUVUMAMradi wa ujenzi wa laini ya msongo wa 220kV kutoka Songea hadi Tunduru na ujenzi wa Kituo cha kupozea umeme cha Tunduru unaendelea kutekelezwa ambao unahusisha ujenzi wa Kilomita 214.5 za laini ya msongo wa Kilovolti 220kV na kituo cha kupozea umeme cha Tunduru.

Kiufupi Mama anakimbiza sana Kwenye miradi na ndio maana nasema siku zote hakuna Rais amewahi kumwaga miradi Mingi ya Maendeleo Kwa Wingi kama Samia Toka Tanzania imeumbwa na Iko hivyo Nchi nzima.

Mungu mbariki Samia Ili kazi iendelee 👇

View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1746504842749632995?t=Cs7I_RkzdhJAnAvXxh_IdQ&s=19


View: https://www.instagram.com/p/C2hNvg1MOyx/?igsh=MWM0NGhtMHpvajVxbA==
 
Mtu akikuuliza ni miradi gani ya Maendeleo Inayotekelezwa na Rais Samia Tanzania,jibu lake ni rahisi sana.

Miradi ni countless na unaweza itaja vizuri Kwa kuangalia Mkoa mja baada ya mwingine.

Naendelea na makala zangu za kuweka orodha ya miradi mikubwa iliyokamilishwa na inayoendelea kujengwa na Serikali ya Samia.Leo ni zamu ya Ruvuma.

Ruvuma mumependelewa sana na mama labda Kwa sababu mna viongozi wengi sana Kwenye Serikali yake.

Ifuatayo ni Baadhi tuu ya Miradi mikubwa ambayo Inatekelezwa Mkoani Ruvuma.

-Ujenzi wa Barabara Mpya kutoka Songea-Ifakara via EPC+F
-Ukarabati wa Barabara ya Songea-Makambako
-Ujenzi wa barabara Mpya ya lami Songea-Amanikoro-Mozambique Border
-Ujenzi wa barabara ya lami Kitai-Lituhi-Ndumbi Port
-Ujenzi wa Majengo ya Utawala kwenye Halmashauri zote
-Ujenzi wa Bandari Mpya ya Mbamba Bay
-Ujenzi na ufungaji wa taa uwanja wa ndege Songea
-Ujenzi wa barabara za Manispaa Kupitia Tactic Songea MC na Mbinga TC
-Ujenzi wa Chuo Kikuu kipya Cha Songea
-Ujenzi wa Tawi la Chuo Cha Uhasibu Cha Arusha- Songea
-Ujenzi wa Hospital za Wilaya,Vituo vya afya na ukarabati wa hospital kongwe
-Ujenzi wa Hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma
-Ujenzi wa njia ya Umeme wa 220KV kutoka Songea-Tunduru pamoja na Tunduru Substation
-Ujenzi wa Mradi mkubwa wa Maji Manispaa ya Songea ,over 145bln
-Ujenzi wa Mradi mkubwa wa Maji Mbinga
-Ujenzi wa Standing Mpya ya Mabasi Peramiho
-Ujenzi wa maghala ya kuhifadhia mazao.Zaidi ya maghala ya Kisasa 12 yanajengwa na Ruvuma ndio Ina maghala mengi Tanzania nzima.
-Ujenzi wa kongani ya viwanda Songea
-Uwekezaji wa mashamba makubwa ya kibiashara-Block farming
-Ujenzi wa Shule Mpya 23 za Sekondari.
-Ujenzi wa kiwanda Cha Sukari Songea,zaidi ya Bil.500
View attachment 2870552
RUVUMAMradi wa ujenzi wa laini ya msongo wa 220kV kutoka Songea hadi Tunduru na ujenzi wa Kituo cha kupozea umeme cha Tunduru unaendelea kutekelezwa ambao unahusisha ujenzi wa Kilomita 214.5 za laini ya msongo wa Kilovolti 220kV na kituo cha kupozea umeme cha Tunduru.

Kiufupi Mama anakimbiza sana Kwenye miradi na ndio maana nasema siku zote hakuna Rais amewahi kumwaga miradi Mingi ya Maendeleo Kwa Wingi kama Samia Toka Tanzania imeumbwa na Iko hivyo Nchi nzima.

Mungu mbariki Samia Ili kazi iendelee 👇

View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1746504842749632995?t=Cs7I_RkzdhJAnAvXxh_IdQ&s=19


View: https://www.instagram.com/p/C3D0mNRLkZ0/?igsh=NnJnZml2N2F2aDAx
 
Mtu akikuuliza ni miradi gani ya Maendeleo Inayotekelezwa na Rais Samia Tanzania,jibu lake ni rahisi sana.

Miradi ni countless na unaweza itaja vizuri Kwa kuangalia Mkoa mja baada ya mwingine.

Naendelea na makala zangu za kuweka orodha ya miradi mikubwa iliyokamilishwa na inayoendelea kujengwa na Serikali ya Samia.Leo ni zamu ya Ruvuma.

Ruvuma mumependelewa sana na mama labda Kwa sababu mna viongozi wengi sana Kwenye Serikali yake.

Ifuatayo ni Baadhi tuu ya Miradi mikubwa ambayo Inatekelezwa Mkoani Ruvuma.

-Ujenzi wa Barabara Mpya kutoka Songea-Ifakara via EPC+F
-Ukarabati wa Barabara ya Songea-Makambako
-Ujenzi wa barabara Mpya ya lami Songea-Amanikoro-Mozambique Border
-Ujenzi wa barabara ya lami Kitai-Lituhi-Ndumbi Port
-Ujenzi wa Majengo ya Utawala kwenye Halmashauri zote
-Ujenzi wa Bandari Mpya ya Mbamba Bay
-Ujenzi na ufungaji wa taa uwanja wa ndege Songea
-Ujenzi wa barabara za Manispaa Kupitia Tactic Songea MC na Mbinga TC
-Ujenzi wa Chuo Kikuu kipya Cha Songea
-Ujenzi wa Tawi la Chuo Cha Uhasibu Cha Arusha- Songea
-Ujenzi wa Hospital za Wilaya,Vituo vya afya na ukarabati wa hospital kongwe
-Ujenzi wa Hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma
-Ujenzi wa njia ya Umeme wa 220KV kutoka Songea-Tunduru pamoja na Tunduru Substation
-Ujenzi wa Mradi mkubwa wa Maji Manispaa ya Songea ,over 145bln
-Ujenzi wa Mradi mkubwa wa Maji Mbinga
-Ujenzi wa Standing Mpya ya Mabasi Peramiho
-Ujenzi wa maghala ya kuhifadhia mazao.Zaidi ya maghala ya Kisasa 12 yanajengwa na Ruvuma ndio Ina maghala mengi Tanzania nzima.
-Ujenzi wa kongani ya viwanda Songea
-Uwekezaji wa mashamba makubwa ya kibiashara-Block farming
-Ujenzi wa Shule Mpya 23 za Sekondari.
-Ujenzi wa kiwanda Cha Sukari Songea,zaidi ya Bil.500
View attachment 2870552
RUVUMAMradi wa ujenzi wa laini ya msongo wa 220kV kutoka Songea hadi Tunduru na ujenzi wa Kituo cha kupozea umeme cha Tunduru unaendelea kutekelezwa ambao unahusisha ujenzi wa Kilomita 214.5 za laini ya msongo wa Kilovolti 220kV na kituo cha kupozea umeme cha Tunduru.

Kiufupi Mama anakimbiza sana Kwenye miradi na ndio maana nasema siku zote hakuna Rais amewahi kumwaga miradi Mingi ya Maendeleo Kwa Wingi kama Samia Toka Tanzania imeumbwa na Iko hivyo Nchi nzima.

Mungu mbariki Samia Ili kazi iendelee 👇

View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1746504842749632995?t=Cs7I_RkzdhJAnAvXxh_IdQ&s=19

Kati ya miradi uliyoitaja nitajie miradi iliyotekelezwa imefikia 50% ya utekelezaji
 
Back
Top Bottom