Chadema itekeni kijiji cha PARAKUYO toka Morogoro njia ya Kilosa, is second to Arusha as most powerful Masai Community, na wana hasira na CCM hasa Pinda pale waliponyang'anywa ng'ombe na CCM kisa wamezidi kiwango na kutumwa Polisi kuwapora na hatimae baadhi ya wazee walijiuwa kwa kufilisiwa na Serikali mwaka 2009. Hao wamasai wakiwakubali ndio shina ya Power of the tribe from Zanzibar to Mbeya via Tanga, Manyara, morogoro, Dodoma, Iringa, Pwani na Daressalaam, naomba nisieleweke kikabila zaidi au kama vipi poa tu, mimi ninaisaidia Chadema tu kama Hope iliobaki, Kumbuka wamasai kwa ndani ni Himaya yao ya kipekee na mikoa niliotaja haihusiani na haiwasiliani na kanda ya kaskazini ambayo tayari ni Chadema damu