Democracy999
JF-Expert Member
- May 26, 2012
- 945
- 190
Like a father like a son(kama Pasco kama Lowasa), kama Lowasa ambavyo kashindwa kusoma alama za nyakati kwamba janja yake makanisani tumeinyaka......ndivyo ambavyo kijana wake kashindwa kung'amua kuwa watu M4C ina-change watu kila sekunde......
Unaacha kushangaa CDM kushika hatamu Mtwara, Unashangaa CDM kushika hatamu Bagamoyo karibu kabisa na town!!!Vilevile ni ujinga kutumia 2010 kama reference, acheni kukariri vijana
Lowassa ataicheleweshea Chadema kuchukua nchi