Bae niongezee hela ninunue S9+

Bae niongezee hela ninunue S9+

Ni kweli, Umeona mbali sana.

Njia nyingine rahisi ya kumtambua aliye sahihi au si sahihi - Waweza kumpa kama laki tano, na kumwambia fanyia chochote. Then baada ya muda muulize ametumia vipi? Utashangaa anakwambia nilienda kusukia Brazilian hair hela yote!
 
Comment yake imenichekesha maana nimekumbuka tukio langu la juzi juzi. kuna mtu aliniambia niagizie nachokitaka Dubai nikaagiza nywele. Nywele zimefika kumbe hana hela . Nikalipa 250k mwenyewe na inaniuma hadi leo kumbe alikua anataka sifa tu kwa rafiki angu wakati hana 100. Ila nilimchambaaa kwa kunitia hasara ya hela yote2 hiyo
 
Juzi nimetumiwa msg na bae eti nimuongezee hela anunue S9+. Ikabidi nichungulie inauzwa bei gani OMG 2.3m! Yaani 2,300,000! Over a $1000!

Nikafikiria huyu Bae anakaa nyumba ya kupanga, kodi vile vile nanchangia na inawezekana tunachangia wengi, kweli hana cha maana cha kufanyia hio 2.3m!

Nikafikiria haraka haraka nini unnaweza kufanya na 2.3m
1.Unaweza kununua kiwanja. Kuna kampuni zinauza viwanja vilivyopimwa 5000/sqm anaweza kupata 1000sqm kwa 5m(hii kampuni unaweza kulipa nusu halafu iliobaki kidogokidogo kwa miezi sita)
2.Unaweza kununua matofali 2300 ambayo yanamaliza nyumba ya vyumba vitatu au viwili.
3.Unnaweza kununua madirisha zaidi ya 7 ya aluminium ukamalizia nyumba yako
4.Unaweza kununua bodaboda ikakuingizia hata 20,000 kwa siku.
5.Huu ni mtaji tosha kwa biashara ya tigopesa etc
6.Unaweza kununua mabati 100 au zaidi
Kuna vitu kibao vya kufanyia hio hela kuliko kununua simu. Leo nimekamilisha uchunguzi wangu kwake hafai kuwa mke.

NB:Hii haihusu those who CAN AFFORD that phone.


Mademu dizaini ya Wema Sepetu wako wengi sana mjini, ukiwa nao utalostika tu.
 
Comment yake imenichekesha maana nimekumbuka tukio langu la juzi juzi. kuna mtu aliniambia niagizie nachokitaka Dubai nikaagiza nywele. Nywele zimefika kumbe hana hela . Nikalipa 250k mwenyewe na inaniuma hadi leo kumbe alikua anataka sifa tu kwa rafiki angu wakati hana 100. Ila nilimchambaaa kwa kunitia hasara ya hela yote2 hiyo
Hasara umepata vipi kwani nywele hujapewa?
 
Mkuu RRONDO, nitumie number yake nimuwezeshe huyo ex wako mtarajiwa

Afu mbona wewe umevuta VW bila kuwaza kufanyia biashara. Kila mtu na starehe yake chief
 
Back
Top Bottom