nobodylikedme
JF-Expert Member
- Apr 5, 2018
- 741
- 769
Upumbqvu na ulimbukeni tu.I hate to generalize and/ or stereotype...but damn!
Mademu wa kibongo na simu!!
What’s up with that?
Unajua hapa bongo ukiwa na simu nzuri tu unaweza ukang'oa demu bila gharama yoyote.
Nakumbuka niliwahi kuwa na iPhone 4 miaka kama mitatu iliyopta basi jamaa yangu mmoja hivi namuitaga torres akawa anakuja kuniazima hili akuchukulie namba za mademu.. Na kweli alikuwaga anyimwi kabisa na wengi tu aliwala.
Wanawake wengi washamba sana hapa bongo wanaamini sana kwenye ufahari kuliko kuwa genuine
