Nyerere angeogopa na kukaa kimya baada ya kuwekwa mahabusu sijui kama leo ungekuwa unaanzisha thread namna hii katika nchi inayoitwa Tanzania.
Hakuna Republican wala Democratic bila raia .jiongezeHivi lb na USA baby sijaonaga Republican wala Democratic wakiandamana? ni RAIA ndio huwa wanaandamana, why?
Hao uliowataja leo wametokomea kusikojulikana. Wamemwachia Mwanahabari Huru anahenya.Utatukwana sana Leo na watu wa ufipa.. Kina Mungi, Mmawia, mshana jr na Ben Saanane na misukule mengine
Kama hawatafanya kweli basi serikali itaendelea kuimarisha ulinzi na kufanya usafi .kwani tatizo liko wapi?Unadhani Oktoba mosi watafanya kweli?
Furaha yako ulitaka uone vijana wamejeruhiwa au kuuliwa kwenye maandamano? Hata shetani hawezi kuwa na mawazo mabaya kiasi hicho! Imeandikwa,heri wapatanishi maana hao watauona ufalme wa mungu na wahenga walisema heri nusu shari kuliko shari kamili.Hawa CHADEMA ndo basbi tena.
Naona wapo kwenye mwendokasi wa kuelekea kaburini.
Hii si mara yao ya kwanza kuwapandisha watu mzuka halafu wanaishia kubadili gia angani na kuwaacha watu wakining'inia.
Nani tena atawaamini hawa jamaa? Manake baada ya kuwaaminisha watu kwa miaka mingi kuwa Lowassa ni fisadi, matokeo yake ndo akaja kuwa mgombea wao. Mamlaka ya kimaadili ya kukemea ufisadi wakayapoteza.
Baada ya kuwapandisha watu mzuka wa UKUTA, leo wameufyata mbele ya Ngosha.
Sasa eti wametangaza hayo maandamano yatafanyika Oktoba mosi.
Watampata nani hiyo Oktoba mosi? Wake, waume, na watoto wao?
Wameishiwa kabisa. Hawana jipya tena. Hawana dira wala mwelekeo wowote ule.
Mtu afadhali unaweza kusema kuwa kabla ya ujio wa Lowassa kwamba watu walijua wanasimamia nini na wanasimama wapi.
Lakini leo hii nani anayejua wanachokisimamia? Nani anajua wanaposimama?
Walishindwa hata kuwashawishi wapinzani wenzao kuwaunga mkono ki hali na ki mali kwenye huo UKUTA wao. Wengine wakadiriki hadi kuwatakia kila la kheri na kuwaahidi kuchangia damu endapo wangehitaji baada ya kupokea kichapo cha vijana wa Ngosha.
Matokeo yake tingatinga limepita na kuusambaratishia mbali.
Wanahitaji uongozi mpya wenye maono mapya la sivyo wataenda bye bye for good.
Kwani umeulizwa?...Mimi ni CCM niliyeamuwa kuwaunga mkono kwenye maandamano.
Umeelewa nilichoandika au umeniquote tu bila kuelewa?Hakuna Republican wala Democratic bila raia .jiongeze
Haikuhusu.sijaomba kujibiwa brother. Take your timeKwani umeulizwa?
Mimi nina imani na CHADEMA.
Nyani Ngabu tengeneza uzi mwingine wenye vitufe vya ku vote ili research yako iwe na Maana
Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa akaunti ya nyani ngabu anaitumia yeye mwenyewe. Ni juzi alitetea Lema kuhatarisha afya yake kwa kugoma kula akishinikiza dhamana sasa leo aandike hivi? Big noHawa CHADEMA ndo basi tena.
Naona wapo kwenye mwendokasi wa kuelekea kaburini.
Hii si mara yao ya kwanza kuwapandisha watu mzuka halafu wanaishia kubadili gia angani na kuwaacha watu wakining'inia.
Nani tena atawaamini hawa jamaa? Manake baada ya kuwaaminisha watu kwa miaka mingi kuwa Lowassa ni fisadi, matokeo yake ndo akaja kuwa mgombea wao. Mamlaka ya kimaadili ya kukemea ufisadi wakayapoteza.
Baada ya kuwapandisha watu mzuka wa UKUTA, leo wameufyata mbele ya Ngosha.
Sasa eti wametangaza hayo maandamano yatafanyika Oktoba mosi.
Watampata nani hiyo Oktoba mosi? Wake, waume, na watoto wao?
Wameishiwa kabisa. Hawana jipya tena. Hawana dira wala mwelekeo wowote ule.
Mtu afadhali unaweza kusema kuwa kabla ya ujio wa Lowassa kwamba watu walijua wanasimamia nini na wanasimama wapi.
Lakini leo hii nani anayejua wanachokisimamia? Nani anajua wanaposimama?
Walishindwa hata kuwashawishi wapinzani wenzao kuwaunga mkono ki hali na ki mali kwenye huo UKUTA wao. Wengine wakadiriki hadi kuwatakia kila la kheri na kuwaahidi kuchangia damu endapo wangehitaji baada ya kupokea kichapo cha vijana wa Ngosha.
Matokeo yake tingatinga limepita na kuusambaratishia mbali.
Wanahitaji uongozi mpya wenye maono mapya la sivyo wataenda bye bye for good.
Nieleweshe mkuu labda sijakuelewa.Umeelewa nilichoandika au umeniquote tu bila kuelewa?
Mkuu.Unaona sasa...tatizo nyie wanazi wa CHADEMA mnaishi mitandaoni tu.
Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa akaunti ya nyani ngabu anaitumia yeye mwenyewe. Ni juzi alitetea Lema kuhatarisha afya yake kwa kugoma kula akishinikiza dhamana sasa leo aandike hivi? Big no