Bado tunapwaya katika Suala la Makazi Tanzania, Tunahitaji Sera madhubuti ya Nyumba!

Dodoma imepangiliwa kwa asilimia zaidi ya 90,sehemu iliyobakia watu walivamia wakajenga holela kutokana na urasimu wa kupata viwanja lkn nayo maeneo hayo yanaboreshwa ili yakae kimpango mji kuna baadhi ya nyumba zinavunjwa ili kupisha miundo mbinu kv barabara,maji taka,maji safi,umeme n.k .na wamiliki wake kulipwa fidia na kupewa eneo jingine na hilo limefanikiwa. Mamlaka za nchi zije zikajifunze Dodoma
capital city dodoma
 
Muheshima ni low cost kwa maiaha ya watu wa kawaida kama hiyo pesa unaiilipa up to almost 20 years, mimi nimechukua hiyo ya m60 nimekusanya millioni 3 nikakopa benki 3 nikawa na jumla ya m6 nikalipa down payment ya 10% then baada hapo nikikabithiwa na lipa laki mbili kwa mwezi mpaka namaliza,
Ukiangalia baada ya miaka mitatu thamani ya laki mbili itakua ndogo mno likewise as time goes value itashuka na maradhi yakua affordable kila mwaka wakati mtaani kodi ikipanda na value ya maeneo kuongezeka,
Yes the housing is affordable if are tolerant. Sijutii kama ambavyo nimekaribia kumaliza huo mkopo wa millioni tatu.
Tengeza hoja ukithibitisha kwa mtu mwenye pesa ndogo atawezo hivyo bila NHC usisahau na bei za viwanja, wakati kwa NHC unapata maji,umeme na Barbara za mtaani kwako
Samahani Mkuu, hiyo ya 60m ina bedrooms ngapi?
 
slumoi-jpg.80801


Hatari sana
lakini salama mkuu,inabidi tufike hivyohivyo
 
Muheshima ni low cost kwa maiaha ya watu wa kawaida kama hiyo pesa unaiilipa up to almost 20 years, mimi nimechukua hiyo ya m60 nimekusanya millioni 3 nikakopa benki 3 nikawa na jumla ya m6 nikalipa down payment ya 10% then baada hapo nikikabithiwa na lipa laki mbili kwa mwezi mpaka namaliza,
Ukiangalia baada ya miaka mitatu thamani ya laki mbili itakua ndogo mno likewise as time goes value itashuka na maradhi yakua affordable kila mwaka wakati mtaani kodi ikipanda na value ya maeneo kuongezeka,
Yes the housing is affordable if are tolerant. Sijutii kama ambavyo nimekaribia kumaliza huo mkopo wa millioni tatu.
Tengeza hoja ukithibitisha kwa mtu mwenye pesa ndogo atawezo hivyo bila NHC usisahau na bei za viwanja, wakati kwa NHC unapata maji,umeme na Barbara za mtaani kwako
unazungumzia mtanzania yupi mkuu,mwalimu wa shule ya msingi na sekondari akitoa laki mbili atabakiwa na shilingi ngapi ,muuguzi huyuhuy nae, hao ndio angalau wanaitwa wafanyakazi,huku nyuma kuna lundo la wakina sisi tusio na hata kibarua cha kwenda ombea mkopo lakini bado tunahitaji pa kuishi,nadhani twahitaji kufikiria zaidi ya hapo, simaanishi shirika lijiendeshe kwa hasara ila walipaswa kuchukulia makazi kama mahitaji muhimu ya binadamu na sio starehe, kwa maono haya ya kujenga ghorofa pale victora na morocco, au nyumba ya gharama nafuu kibada ya milioni 60,kwa kweli bado kabisa hilo linaloitwa shirika la nyumba lina kazi kubwa ya kufanya kulingana na uhalisia ili kuthibitisha uhalali wa hilo jina lake
 
Naunga mkono hoja ila bei ya nyumba isiwe dola laki moja mbili au tatu....mil za kawaida tu ili watu waweze kununua

Ujenzi wa makazi ya raia sio kipaumbele kwa sasa.... Kipaumbele ni kujenga barabara za lami, madarasa, zahanati, vituo vya mabasi....
 
Back
Top Bottom