Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,282
- 1,096,070
Hii hoja inawauma sana. Mlitishia hadi who mara mabeberu yatatufungia mipaka bla bla kibao ila baba jiwe akaweka ngumu no lockdown na tumesonga. Mlitamani tufe wengi mpate kumlaumu vizuri
Huu ni uongo mtupu Nchi nyingi za kiafrika COVID19 haikuwa na athari kubwa kama Western countries na huko huyo anayejiita MWENDAWAZIMU hakutia mguu kwenda kuibamiza.