Bado sehemu kubwa ya watu wetu wamenga'ng'ania vijiji kichwani mwao (waporipori)

Wewe ni mmoja wao kwa kuogopa kujibu swali la Rais kukaa na kupiga picha katika kiti cha rubani. Kumbe muisi hushikwa na muisi mwenzie. Kubali yaishe
Mama hana shida, yuko busy kurekebisha vitu vingi vilivyofanyika kishamba kwenye utawala uliopita, siwezi kuwa sehemu ya watu wasio appreciate anachofanya
 
Mama hana shida, yuko busy kurekebisha vitu vingi vilivyofanyika kishamb kwenye utawala uliopita, siwezi kuwa sehemu ya watu wasio appreciate anachofanya
Mama hana shida kwanza lla walio mshauri afanye kitendo cha ushamba kuka kwenye kiti cha rubani na kupiga picha na kuirusha mitandaoni ya kijamii ililete taswira ya ushamba ndo wa kulaumu.
 
Mama hana shida kwanza lla walio mshauri afanye kitendo cha ushamba kuka kwenye kiti cha rubani na kupiga picha na kuirusha mitandaoni ya kijamii ililete taswira ya ushamba ndo wa kulaumu.
Hakika, na huu ndiyo uzi rekebu
 
Wanasema unaweza ukamtoa mtu kijijini lakini ukashindwa kutoa kijiji kichwani mwake

Maana yake nini, watu wetu wengi bado ni washamba sana (wapori-porii), bado wanatambaa na mawazo ya kale vichwani mwao.

Hapa sina nia ya kumsema mwendazake na genge lake (sukuma gang) au watu wa mikoani, la khasha, hii ni kwetu sote, ata wa mjini.

Wanatekeleza mila na tamaduni bila kuhoji uhalali wake, faida zake na relevance yake katika maisha ya sasa.

Ninatoa mifano midogo katika haya yanayofanyika:

1. Kusalimia salimia watu hovyo;
2. Kulaumu watu wengine wasipo shiriki misiba au sherehe:
3. Ku force force kujuana juana tunakoishi au mitaaini kwenye hustle nakasirika zaidi nikiwa safarini, sikujui hunijui unaniongelesha nini?;
4. Kulamba viatu vya viongozi na watu matajiri au wenye umaarufu (uchawa)
5; Kusengenya watu makazini, majumbani, kwenye nyumba za ibada na kwenye siasa;
6. Ulozi, kuloga watu wasifanikiwe au kujihusisha na ushirikina na kufanya matambiko;
7. Kufuatilia mambo ya watu wengine, udaku na umbeya mambo ya kishamba sana;
8. Kuongea ongea kwa nguvu kwenye public places, hii ikiwa ni,pamoja na kuongea kwa nguvu ukitumia simu na kujiongelesha mambo yako au kuwasha simu na kusikiliza audio au kutazama video zenye sauti kali kwenye hadhara ya watu, huu ni ushamba mwingi sana;
9. Kuwasha maredio kwa sauti kubwa, majumbani, kwenye gari au boda boda, au kwenye pubs au bar huu ni ukenge sana;
10 Kutembea na wake au wapenzi wa watu ili usifiwe, huo ni ukenge mwingi sana;
11. Code za kilokole, kuvaa masuruali ya vitambaa yenye celebration au turn-ups na mashati oversize, yaani ni ushamba mwingi sana

Kuna mambo mengi sana ya kijinga zaidi haya bado yanendelea kufanywa na kuaminiwa na watu ambao ukiwaona utashangaa.

Kuna baadhi ya nyuzi nimejaribu kutoa humu JF nakupata uhalisia wa watu wetu na mitazamo yao na hiili limenifanya nitafakari uzi huu.






Hii ni sehemu ndogo tu ya reflection ya uhalisia wa watu wetu unaojitokeza kwenye comments zao

Hoja hupingwa na hoja iliyo bora na si vinginevyo
Vitu vingi ulivyotaja ni vya uswahilini, na uswahilini upo mjini na siyo vijijini
 
Wanasema unaweza ukamtoa mtu kijijini lakini ukashindwa kutoa kijiji kichwani mwake

Maana yake nini, watu wetu wengi bado ni washamba sana (wapori-porii), bado wanatambaa na mawazo ya kale vichwani mwao.

Hapa sina nia ya kumsema mwendazake na genge lake (sukuma gang) au watu wa mikoani, la khasha, hii ni kwetu sote, ata wa mjini.

Wanatekeleza mila na tamaduni bila kuhoji uhalali wake, faida zake na relevance yake katika maisha ya sasa.

Ninatoa mifano midogo katika haya yanayofanyika:

1. Kusalimia salimia watu hovyo;
2. Kulaumu watu wengine wasipo shiriki misiba au sherehe:
3. Ku force force kujuana juana tunakoishi au mitaaini kwenye hustle nakasirika zaidi nikiwa safarini, sikujui hunijui unaniongelesha nini?;
4. Kulamba viatu vya viongozi na watu matajiri au wenye umaarufu (uchawa)
5; Kusengenya watu makazini, majumbani, kwenye nyumba za ibada na kwenye siasa;
6. Ulozi, kuloga watu wasifanikiwe au kujihusisha na ushirikina na kufanya matambiko;
7. Kufuatilia mambo ya watu wengine, udaku na umbeya mambo ya kishamba sana;
8. Kuongea ongea kwa nguvu kwenye public places, hii ikiwa ni,pamoja na kuongea kwa nguvu ukitumia simu na kujiongelesha mambo yako au kuwasha simu na kusikiliza audio au kutazama video zenye sauti kali kwenye hadhara ya watu, huu ni ushamba mwingi sana;
9. Kuwasha maredio kwa sauti kubwa, majumbani, kwenye gari au boda boda, au kwenye pubs au bar huu ni ukenge sana;
10 Kutembea na wake au wapenzi wa watu ili usifiwe, huo ni ukenge mwingi sana;
11. Code za kilokole, kuvaa masuruali ya vitambaa yenye celebration au turn-ups na mashati oversize, yaani ni ushamba mwingi sana

Kuna mambo mengi sana ya kijinga zaidi haya bado yanendelea kufanywa na kuaminiwa na watu ambao ukiwaona utashangaa.

Kuna baadhi ya nyuzi nimejaribu kutoa humu JF nakupata uhalisia wa watu wetu na mitazamo yao na hiili limenifanya nitafakari uzi huu.






Hii ni sehemu ndogo tu ya reflection ya uhalisia wa watu wetu unaojitokeza kwenye comments zao

Hoja hupingwa na hoja iliyo bora na si vinginevyo
chanzo kikuu ni umaskini wa fedha na kimawazo na mtazamo..tatizo ni elimu na kuelimika hata mtoa mada unalo (take it easy... dont take it personal)nipo maeneo ya usukumani mambo ya kusalimiaana mda mrefu yapo sana mi napunga nasepa sina mda wa kusimama kusalimiana msiba wanataka ukae siku tatu(tatizo hapo ni umaskini na kumtia umaskini mfiwa hawana cha kufanya au cha kula..ila masika wenyewe hawakai kwenye misiba au vimikutano vya hovyo)sishiriki upuuzi natoa mchango nazika nasepa... unatakiwa kujua nini sababu ya hayo je we ni mmoja wa hizo...
 
Kwa hicho ulichokiandika, kumbe wewe si mporipori tu bali ni mpuuzi.
Una haki ya kutoa maoni yako mkuu

 
chanzo kikuu ni umaskini wa fedha na kimawazo na mtazamo..tatizo ni elimu na kuelimika hata mtoa mada unalo (take it easy... dont take it personal)nipo maeneo ya usukumani mambo ya kusalimiaana mda mrefu yapo sana mi napunga nasepa sina mda wa kusimama kusalimiana msiba wanataka ukae siku tatu(tatizo hapo ni umaskini na kumtia umaskini mfiwa hawana cha kufanya au cha kula..ila masika wenyewe hawakai kwenye misiba au vimikutano vya hovyo)sishiriki upuuzi natoa mchango nazika nasepa... unatakiwa kujua nini sababu ya hayo je we ni mmoja wa hizo...
Umeongea vitu vingi vya msingi
 
Enjoy maisha bana utakufa bure kwa vitu visivyo na maana binadamu ndo walivyo sanasana pambana upande wako na familia yako watu wengn huwez kuwafundisha sabu ndo maisha wamekulia na kuishi ktk jamii zao
 
Back
Top Bottom