Wewe ni mmoja wao kwa kuogopa kujibu swali la Rais kukaa na kupiga picha katika kiti cha rubani. Kumbe muisi hushikwa na muisi mwenzie. Kubali yaisheHakika, tena kwa kiwango cha SGR
Wewe ni mmoja wao kwa kuogopa kujibu swali la Rais kukaa na kupiga picha katika kiti cha rubani. Kumbe muisi hushikwa na muisi mwenzie. Kubali yaisheHakika, tena kwa kiwango cha SGR
Prof Kabudi unamuweka kwenye catogory gani, ya ushamba au ujinga pamoja na kua professor wa chuo kikuu...........Ni kweli,,ila angalau ndiyo sehemu ya kuanzia
Mama hana shida, yuko busy kurekebisha vitu vingi vilivyofanyika kishamba kwenye utawala uliopita, siwezi kuwa sehemu ya watu wasio appreciate anachofanyaWewe ni mmoja wao kwa kuogopa kujibu swali la Rais kukaa na kupiga picha katika kiti cha rubani. Kumbe muisi hushikwa na muisi mwenzie. Kubali yaishe
Huyo ndiyo mfano halisi wa watu walong'sng'ania vijiji vichwani mwaoProf Kabudi unamuweka kwenye catogory gani, ya ushamba au ujinga pamoja na kua professor wa chuo kikuu...........
Mama hana shida kwanza lla walio mshauri afanye kitendo cha ushamba kuka kwenye kiti cha rubani na kupiga picha na kuirusha mitandaoni ya kijamii ililete taswira ya ushamba ndo wa kulaumu.Mama hana shida, yuko busy kurekebisha vitu vingi vilivyofanyika kishamb kwenye utawala uliopita, siwezi kuwa sehemu ya watu wasio appreciate anachofanya
Hakika, na huu ndiyo uzi rekebuMama hana shida kwanza lla walio mshauri afanye kitendo cha ushamba kuka kwenye kiti cha rubani na kupiga picha na kuirusha mitandaoni ya kijamii ililete taswira ya ushamba ndo wa kulaumu.
Vitu vingi ulivyotaja ni vya uswahilini, na uswahilini upo mjini na siyo vijijiniWanasema unaweza ukamtoa mtu kijijini lakini ukashindwa kutoa kijiji kichwani mwake
Maana yake nini, watu wetu wengi bado ni washamba sana (wapori-porii), bado wanatambaa na mawazo ya kale vichwani mwao.
Hapa sina nia ya kumsema mwendazake na genge lake (sukuma gang) au watu wa mikoani, la khasha, hii ni kwetu sote, ata wa mjini.
Wanatekeleza mila na tamaduni bila kuhoji uhalali wake, faida zake na relevance yake katika maisha ya sasa.
Ninatoa mifano midogo katika haya yanayofanyika:
1. Kusalimia salimia watu hovyo;
2. Kulaumu watu wengine wasipo shiriki misiba au sherehe:
3. Ku force force kujuana juana tunakoishi au mitaaini kwenye hustle nakasirika zaidi nikiwa safarini, sikujui hunijui unaniongelesha nini?;
4. Kulamba viatu vya viongozi na watu matajiri au wenye umaarufu (uchawa)
5; Kusengenya watu makazini, majumbani, kwenye nyumba za ibada na kwenye siasa;
6. Ulozi, kuloga watu wasifanikiwe au kujihusisha na ushirikina na kufanya matambiko;
7. Kufuatilia mambo ya watu wengine, udaku na umbeya mambo ya kishamba sana;
8. Kuongea ongea kwa nguvu kwenye public places, hii ikiwa ni,pamoja na kuongea kwa nguvu ukitumia simu na kujiongelesha mambo yako au kuwasha simu na kusikiliza audio au kutazama video zenye sauti kali kwenye hadhara ya watu, huu ni ushamba mwingi sana;
9. Kuwasha maredio kwa sauti kubwa, majumbani, kwenye gari au boda boda, au kwenye pubs au bar huu ni ukenge sana;
10 Kutembea na wake au wapenzi wa watu ili usifiwe, huo ni ukenge mwingi sana;
11. Code za kilokole, kuvaa masuruali ya vitambaa yenye celebration au turn-ups na mashati oversize, yaani ni ushamba mwingi sana
Kuna mambo mengi sana ya kijinga zaidi haya bado yanendelea kufanywa na kuaminiwa na watu ambao ukiwaona utashangaa.
Kuna baadhi ya nyuzi nimejaribu kutoa humu JF nakupata uhalisia wa watu wetu na mitazamo yao na hiili limenifanya nitafakari uzi huu.
Watanzania wengi hawaogi na hawapaki deodorant
Heri ya sikukuu ya sabasaba. Kwa masikitiko makubwa naomba niwakilishe malalamiko yangu kuhusu ndugu zangu na wananchi wenzangu. Wengi wenu hamuogi, hamfui nguo zenu na hampaki deodorant achilia mbali perfume. Jana nilikua kwenye misongamano ya watu sehemu mbili tofauti katika jiji la Dar es...www.jamiiforums.com
Kwanini watu wa mikoani wanapenda kusalimia salimia?
Amani iwe nanyi wana JF Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200 Mambo ya kijinga sana na ni code za kigoloko sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote. Kwa...www.jamiiforums.com
Ni Tanzania pekee ambapo ujinga unatetewa na kundi kubwa la watu
Wasalaam wana JF Katika kipindi cha miaka sita iliyopita nchi yetu ilishuhudia utawala usiofuata sheria na kutojali haki na heshima za binadamu. Watanzania wengi walikua wamekatwa mikia na kugugumia. Haki za kisiasa na kiraia ziliporwa na watu waliumizwa kimwili na kiuchumi na wengine kupoteza...www.jamiiforums.com
80% ya Wanawake Tanzania ni 'omba omba'
Wasalaam wana JF Naomba niwasilishe utafiti wangu uchwara kuhusu hawa watu. Ni reflection ya ukweli. Katika jitihada za serikali kupunguza umasikini na kuondoa omba omba hili kundi haliangaliwi, yaani wanawake na akina dada. Wana njaa kali na wanajitoa muhanga kwenye front zote. Wako...www.jamiiforums.com
Wizi wa mali za Umma ni reflection ya jamii ya watu wasiostaarabika
Kwa hasira kabisa ni wafokee wezi wote wa mali za umma. Jamii yoyote iliyostaarabika inatizama mustakabali wa vizazi vijavyo. Unapoiba pesa au mali za umma ni kielelezo cha ubinafsi kama mtu mmoja lakini kwa jamii nzima ni reflection ya kuwa jamii hiyo haijastaarabika. Vipo viashiria vingi...www.jamiiforums.com
Hii ni sehemu ndogo tu ya reflection ya uhalisia wa watu wetu unaojitokeza kwenye comments zao
Hoja hupingwa na hoja iliyo bora na si vinginevyo
Ni mchanganyiko wa vitu vipo kila mahaliVitu vingi ulivyotaja ni vya uswahilini, na uswahilini upo mjini na siyo vijijini
Kwa hicho ulichokiandika, kumbe wewe si mporipori tu bali ni mpuuzi.Mama hana shida, yuko busy kurekebisha vitu vingi vilivyofanyika kishamba kwenye utawala uliopita, siwezi kuwa sehemu ya watu wasio appreciate anachofanya
chanzo kikuu ni umaskini wa fedha na kimawazo na mtazamo..tatizo ni elimu na kuelimika hata mtoa mada unalo (take it easy... dont take it personal)nipo maeneo ya usukumani mambo ya kusalimiaana mda mrefu yapo sana mi napunga nasepa sina mda wa kusimama kusalimiana msiba wanataka ukae siku tatu(tatizo hapo ni umaskini na kumtia umaskini mfiwa hawana cha kufanya au cha kula..ila masika wenyewe hawakai kwenye misiba au vimikutano vya hovyo)sishiriki upuuzi natoa mchango nazika nasepa... unatakiwa kujua nini sababu ya hayo je we ni mmoja wa hizo...Wanasema unaweza ukamtoa mtu kijijini lakini ukashindwa kutoa kijiji kichwani mwake
Maana yake nini, watu wetu wengi bado ni washamba sana (wapori-porii), bado wanatambaa na mawazo ya kale vichwani mwao.
Hapa sina nia ya kumsema mwendazake na genge lake (sukuma gang) au watu wa mikoani, la khasha, hii ni kwetu sote, ata wa mjini.
Wanatekeleza mila na tamaduni bila kuhoji uhalali wake, faida zake na relevance yake katika maisha ya sasa.
Ninatoa mifano midogo katika haya yanayofanyika:
1. Kusalimia salimia watu hovyo;
2. Kulaumu watu wengine wasipo shiriki misiba au sherehe:
3. Ku force force kujuana juana tunakoishi au mitaaini kwenye hustle nakasirika zaidi nikiwa safarini, sikujui hunijui unaniongelesha nini?;
4. Kulamba viatu vya viongozi na watu matajiri au wenye umaarufu (uchawa)
5; Kusengenya watu makazini, majumbani, kwenye nyumba za ibada na kwenye siasa;
6. Ulozi, kuloga watu wasifanikiwe au kujihusisha na ushirikina na kufanya matambiko;
7. Kufuatilia mambo ya watu wengine, udaku na umbeya mambo ya kishamba sana;
8. Kuongea ongea kwa nguvu kwenye public places, hii ikiwa ni,pamoja na kuongea kwa nguvu ukitumia simu na kujiongelesha mambo yako au kuwasha simu na kusikiliza audio au kutazama video zenye sauti kali kwenye hadhara ya watu, huu ni ushamba mwingi sana;
9. Kuwasha maredio kwa sauti kubwa, majumbani, kwenye gari au boda boda, au kwenye pubs au bar huu ni ukenge sana;
10 Kutembea na wake au wapenzi wa watu ili usifiwe, huo ni ukenge mwingi sana;
11. Code za kilokole, kuvaa masuruali ya vitambaa yenye celebration au turn-ups na mashati oversize, yaani ni ushamba mwingi sana
Kuna mambo mengi sana ya kijinga zaidi haya bado yanendelea kufanywa na kuaminiwa na watu ambao ukiwaona utashangaa.
Kuna baadhi ya nyuzi nimejaribu kutoa humu JF nakupata uhalisia wa watu wetu na mitazamo yao na hiili limenifanya nitafakari uzi huu.
Watanzania wengi hawaogi na hawapaki deodorant
Heri ya sikukuu ya sabasaba. Kwa masikitiko makubwa naomba niwakilishe malalamiko yangu kuhusu ndugu zangu na wananchi wenzangu. Wengi wenu hamuogi, hamfui nguo zenu na hampaki deodorant achilia mbali perfume. Jana nilikua kwenye misongamano ya watu sehemu mbili tofauti katika jiji la Dar es...www.jamiiforums.com
Kwanini watu wa mikoani wanapenda kusalimia salimia?
Amani iwe nanyi wana JF Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200 Mambo ya kijinga sana na ni code za kigoloko sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote. Kwa...www.jamiiforums.com
Ni Tanzania pekee ambapo ujinga unatetewa na kundi kubwa la watu
Wasalaam wana JF Katika kipindi cha miaka sita iliyopita nchi yetu ilishuhudia utawala usiofuata sheria na kutojali haki na heshima za binadamu. Watanzania wengi walikua wamekatwa mikia na kugugumia. Haki za kisiasa na kiraia ziliporwa na watu waliumizwa kimwili na kiuchumi na wengine kupoteza...www.jamiiforums.com
80% ya Wanawake Tanzania ni 'omba omba'
Wasalaam wana JF Naomba niwasilishe utafiti wangu uchwara kuhusu hawa watu. Ni reflection ya ukweli. Katika jitihada za serikali kupunguza umasikini na kuondoa omba omba hili kundi haliangaliwi, yaani wanawake na akina dada. Wana njaa kali na wanajitoa muhanga kwenye front zote. Wako...www.jamiiforums.com
Wizi wa mali za Umma ni reflection ya jamii ya watu wasiostaarabika
Kwa hasira kabisa ni wafokee wezi wote wa mali za umma. Jamii yoyote iliyostaarabika inatizama mustakabali wa vizazi vijavyo. Unapoiba pesa au mali za umma ni kielelezo cha ubinafsi kama mtu mmoja lakini kwa jamii nzima ni reflection ya kuwa jamii hiyo haijastaarabika. Vipo viashiria vingi...www.jamiiforums.com
Hii ni sehemu ndogo tu ya reflection ya uhalisia wa watu wetu unaojitokeza kwenye comments zao
Hoja hupingwa na hoja iliyo bora na si vinginevyo
Una haki ya kutoa maoni yako mkuuKwa hicho ulichokiandika, kumbe wewe si mporipori tu bali ni mpuuzi.
Umeongea vitu vingi vya msingichanzo kikuu ni umaskini wa fedha na kimawazo na mtazamo..tatizo ni elimu na kuelimika hata mtoa mada unalo (take it easy... dont take it personal)nipo maeneo ya usukumani mambo ya kusalimiaana mda mrefu yapo sana mi napunga nasepa sina mda wa kusimama kusalimiana msiba wanataka ukae siku tatu(tatizo hapo ni umaskini na kumtia umaskini mfiwa hawana cha kufanya au cha kula..ila masika wenyewe hawakai kwenye misiba au vimikutano vya hovyo)sishiriki upuuzi natoa mchango nazika nasepa... unatakiwa kujua nini sababu ya hayo je we ni mmoja wa hizo...
Sukuma gangSasa wasukum tumekukosea nini
Upori pori wa kiwango cha SGR, kwani unauza ice cream au gari ya matangazo ya jiji?mziki mkubwa kwenye gari kumbe ni upori pori sawa..
Bila mziki wenye dba zinazokatazwa na Nemc bado safari hainogi nakuwa kama nipo kwenye jeneza vile..kweli ushamba mzigo.Upori pori wa kiwango cha SGR, kwani unauza ice cream au gari ya matangazo ya jiji?