Bado sehemu kubwa ya watu wetu wamenga'ng'ania vijiji kichwani mwao (waporipori)

Wanasema unaweza ukamtoa mtu kijijini lakini ukashindwa kutoa kijiji kichwani mwake

Maana yake nini, watu wetu wengi bado ni washamba sana (wapori-porii), bado wanatambaa na mawazo ya kale vichwani mwao.

Hapa sina nia ya kumsema mwendazake na genge lake (sukuma gang) au watu wa mikoani, la khasha, hii ni kwetu sote, ata wa mjini.

Wanatekeleza mila na tamaduni bila kuhoji uhalali wake, faida zake na relevance yake katika maisha ya sasa.

Ninatoa mifano midogo katika haya yanayofanyika:

1. Kusalimia salimia watu hovyo;
2. Kulaumu watu wengine wasipo shiriki misiba au sherehe:
3. Ku force force kujuana juana tunakoishi au mitaaini kwenye hustle nakasirika zaidi nikiwa safarini, sikujui hunijui unaniongelesha nini?;
4. Kulamba viatu vya viongozi na watu matajiri au wenye umaarufu (uchawa)
5; Kusengenya watu makazini, majumbani, kwenye nyumba za ibada na kwenye siasa;
6. Ulozi, kuloga watu wasifanikiwe au kujihusisha na ushirikina na kufanya matambiko;
7. Kufuatilia mambo ya watu wengine, udaku na umbeya mambo ya kishamba sana;
8. Kuongea ongea kwa nguvu kwenye public places, hii ikiwa ni,pamoja na kuongea kwa nguvu ukitumia simu na kujiongelesha mambo yako au kuwasha simu na kusikiliza audio au kutazama video zenye sauti kali kwenye hadhara ya watu, huu ni ushamba mwingi sana;
9. Kuwasha maredio kwa sauti kubwa, majumbani, kwenye gari au boda boda, au kwenye pubs au bar huu ni ukenge sana;
10 Kutembea na wake au wapenzi wa watu ili usifiwe, huo ni ukenge mwingi sana;
11. Code za kilokole, kuvaa masuruali ya vitambaa yenye celebration au turn-ups na mashati oversize, yaani ni ushamba mwingi sana

Kuna mambo mengi sana ya kijinga zaidi haya bado yanendelea kufanywa na kuaminiwa na watu ambao ukiwaona utashangaa.

Kuna baadhi ya nyuzi nimejaribu kutoa humu JF nakupata uhalisia wa watu wetu na mitazamo yao na hiili limenifanya nitafakari uzi huu.






Hii ni sehemu ndogo tu ya reflection ya uhalisia wa watu wetu unaojitokeza kwenye comments zao

Hoja hupingwa na hoja iliyo bora na si vinginevyo

Kutambika hatuachi ndio asili yetu.
 
Enjoy maisha bana utakufa bure kwa vitu visivyo na maana binadamu ndo walivyo sanasana pambana upande wako na familia yako watu wengn huwez kuwafundisha sabu ndo maisha wamekulia na kuishi ktk jamii zao
Tunaelimishana tu mkuu, maisha lazima yaendelee
 
Wanasema unaweza ukamtoa mtu kijijini lakini ukashindwa kutoa kijiji kichwani mwake

Maana yake nini, watu wetu wengi bado ni washamba sana (wapori-porii), bado wanatambaa na mawazo ya kale vichwani mwao.

Haijalishi huyo mtu amesoma shule mpaka levels gani, au amekuwa exposed kiasi gani au ameishi mjini kwa muda gani. Kuzaliwa tu mjini peke yake ni elimu kubwa.

Hapa sina nia ya kumsema mwendazake na genge lake (sukuma gang) au watu wa mikoani, la khasha, hii ni kwetu sote, ata wa mjini.

Wanatekeleza mila na tamaduni bila kuhoji uhalali wake, faida zake na relevance yake katika maisha ya sasa. Wengi ni watu walio kariri kwamba yale yote ya vijijini kwao ndiyo sahihi bila kuzingatia kwamba dunia inakwenda kasi sana

Ninatoa mifano midogo katika haya yanayofanyika:

1. Kusalimia salimia watu hovyo;
2. Kulaumu watu wengine wasipo shiriki misiba au sherehe:
3. Ku force force kujuana juana tunakoishi au mitaaini kwenye hustle nakasirika zaidi nikiwa safarini, sikujui hunijui unaniongelesha nini?;
4. Kulamba viatu vya viongozi na watu matajiri au wenye umaarufu (uchawa)
5; Kusengenya watu makazini, majumbani, kwenye nyumba za ibada na kwenye siasa;
6. Ulozi, kuloga watu wasifanikiwe au kujihusisha na ushirikina na kufanya matambiko;
7. Kufuatilia mambo ya watu wengine, udaku na umbeya mambo ya kishamba sana;
8. Kuongea ongea kwa nguvu kwenye public places, hii ikiwa ni,pamoja na kuongea kwa nguvu ukitumia simu na kujiongelesha mambo yako au kuwasha simu na kusikiliza audio au kutazama video zenye sauti kali kwenye hadhara ya watu, huu ni ushamba mwingi sana;
9. Kuwasha maredio kwa sauti kubwa, majumbani, kwenye gari au boda boda, au kwenye pubs au bar huu ni ukenge sana;
10 Kutembea na wake au wapenzi wa watu ili usifiwe, huo ni ukenge mwingi sana;
11. Code za kilokole, kuvaa masuruali ya vitambaa yenye celebration au turn-ups na mashati oversize, yaani ni ushamba mwingi sana;
12 Kuwa na chuki na watu waliofanikiwa au kabila fulani au watu wa kanda fulani hizo ni code za kishamba sana;
13 Kukaa kwenye fast lane (upande wa kulia wa barabaara huku unaendesha gari taratibu na unaongea na simu ni ushamba mwingi sana;
14 Kupiga piga honi nyingi barabarani bila sababu za msingi au kupiga honi getini kwako ili ufunguliwe ni ushamba sana(weka motor kwenye geti yako acha kusumbua majirani);
15 Ku park hovyo gari barabarani kama mtu wa dala dala ni ushamba mwingi sana.

Kuna mambo mengi sana ya kijinga zaidi haya bado yanendelea kufanywa na kuaminiwa na watu ambao ukiwaona utashangaa.

Kuna baadhi ya nyuzi nimejaribu kutoa humu JF nakupata uhalisia wa watu wetu na mitazamo yao na hiili limenifanya nitafakari uzi huu.






Hii ni sehemu ndogo tu ya reflection ya uhalisia wa watu wetu unaojitokeza kwenye comments zao

Hoja hupingwa na hoja iliyo bora na si vinginevyo
Namba nane inanuhusu mimi ni mshamba sana sometimes
 
Wanasema unaweza ukamtoa mtu kijijini lakini ukashindwa kutoa kijiji kichwani mwake

Maana yake nini, watu wetu wengi bado ni washamba sana (wapori-porii), bado wanatambaa na mawazo ya kale vichwani mwao.

Haijalishi huyo mtu amesoma shule mpaka levels gani, au amekuwa exposed kiasi gani au ameishi mjini kwa muda gani. Japo saa nyingine watu wanadhani kuzaliwa tu mjini peke yake ni elimu kubwa au kinga ya ushamba.

Hapa sina nia ya kumsema mwendazake na genge lake (sukuma gang) au watu wa mikoani, la khasha, hii ni kwetu sote, ata wa mjini.

Wanafanya matendo au wanatekeleza mila na tamaduni bila kujali athari zake au kuhoji uhalali wake, faida zake na relevance yake katika maisha ya sasa. Wengi ni watu walio kariri kwamba yale yote ya vijijini kwao ndiyo sahihi bila kuzingatia kwamba dunia inakwenda kasi sana

Ninatoa mifano midogo katika haya yanayofanyika:

1. Kusalimia salimia watu hovyo;
2. Kulaumu watu wengine wasipo shiriki misiba au sherehe:
3. Ku force force kujuana juana tunakoishi au mitaaini kwenye hustle nakasirika zaidi nikiwa safarini, sikujui hunijui unaniongelesha nini?;
4. Kulamba viatu vya viongozi na watu matajiri au wenye umaarufu (uchawa)
5; Kusengenya watu makazini, majumbani, kwenye nyumba za ibada na kwenye siasa;
6. Ulozi, kuloga watu wasifanikiwe au kujihusisha na ushirikina na kufanya matambiko;
7. Kufuatilia mambo ya watu wengine, udaku na umbeya mambo ya kishamba sana;
8. Kuongea ongea kwa nguvu kwenye public places, hii ikiwa ni,pamoja na kuongea kwa nguvu ukitumia simu na kujiongelesha mambo yako au kuwasha simu na kusikiliza audio au kutazama video zenye sauti kali kwenye hadhara ya watu, huu ni ushamba mwingi sana;
9. Kuwasha maredio kwa sauti kubwa, majumbani, kwenye gari au boda boda, au kwenye pubs au bar huu ni ukenge sana;
10 Kutembea na wake au wapenzi wa watu ili usifiwe, huo ni ukenge mwingi sana;
11. Code za kilokole, kuvaa masuruali ya vitambaa yenye celebration au turn-ups na mashati oversize, yaani ni ushamba mwingi sana;
12 Kuwa na chuki na watu waliofanikiwa au kabila fulani au watu wa kanda fulani hizo ni code za kishamba sana;
13 Kukaa kwenye fast lane (upande wa kulia wa barabaara huku unaendesha gari taratibu na unaongea na simu ni ushamba mwingi sana;
14 Kupiga piga honi nyingi barabarani bila sababu za msingi au kupiga honi getini kwako ili ufunguliwe ni ushamba sana(weka motor kwenye geti yako acha kusumbua majirani);
15 Ku park hovyo gari barabarani kama mtu wa dala dala ni ushamba mwingi sana.

Kuna mambo mengi sana ya kijinga zaidi haya bado yanendelea kufanywa na kuaminiwa na watu ambao ukiwaona utashangaa.

Kuna baadhi ya nyuzi nimejaribu kutoa humu JF nakupata uhalisia wa watu wetu na mitazamo yao na hiili limenifanya nitafakari uzi huu.






Hii ni sehemu ndogo tu ya reflection ya uhalisia wa watu wetu unaojitokeza kwenye comments zao

Hoja hupingwa na hoja iliyo bora na si vinginevyo
Umasikini na ujinga , bado ni kikwazo kikubwa kwa Tz yetu. Elimu yetu, itufunze kujiuliza kila jambo lina manufaa au madhara gani ili tuwe na uelewa wa kuchagua yenye manufaa zaidi.
Uliyoyaeleza hapa yote yanaonesha, bado hatujastaarabika, tunafanya mambo bila kujua undani wake, zaidi ni kwa kuiga.
 
Wanasema unaweza ukamtoa mtu kijijini lakini ukashindwa kutoa kijiji kichwani mwake

Maana yake nini, watu wetu wengi bado ni washamba sana (wapori-porii), bado wanatambaa na mawazo ya kale vichwani mwao.

Haijalishi huyo mtu amesoma shule mpaka levels gani, au amekuwa exposed kiasi gani au ameishi mjini kwa muda gani. Japo saa nyingine watu wanadhani kuzaliwa tu mjini peke yake ni elimu kubwa au kinga ya ushamba.

Hapa sina nia ya kumsema mwendazake na genge lake (sukuma gang) au watu wa mikoani, la khasha, hii ni kwetu sote, ata wa mjini.

Wanafanya matendo au wanatekeleza mila na tamaduni bila kujali athari zake au kuhoji uhalali wake, faida zake na relevance yake katika maisha ya sasa. Wengi ni watu walio kariri kwamba yale yote ya vijijini kwao ndiyo sahihi bila kuzingatia kwamba dunia inakwenda kasi sana

Ninatoa mifano midogo katika haya yanayofanyika:

1. Kusalimia salimia watu hovyo;
2. Kulaumu watu wengine wasipo shiriki misiba au sherehe:
3. Ku force force kujuana juana tunakoishi au mitaaini kwenye hustle nakasirika zaidi nikiwa safarini, sikujui hunijui unaniongelesha nini?;
4. Kulamba viatu vya viongozi na watu matajiri au wenye umaarufu (uchawa)
5; Kusengenya watu makazini, majumbani, kwenye nyumba za ibada na kwenye siasa;
6. Ulozi, kuloga watu wasifanikiwe au kujihusisha na ushirikina na kufanya matambiko;
7. Kufuatilia mambo ya watu wengine, udaku na umbeya mambo ya kishamba sana;
8. Kuongea ongea kwa nguvu kwenye public places, hii ikiwa ni,pamoja na kuongea kwa nguvu ukitumia simu na kujiongelesha mambo yako au kuwasha simu na kusikiliza audio au kutazama video zenye sauti kali kwenye hadhara ya watu, huu ni ushamba mwingi sana;
9. Kuwasha maredio kwa sauti kubwa, majumbani, kwenye gari au boda boda, au kwenye pubs au bar huu ni ukenge sana;
10 Kutembea na wake au wapenzi wa watu ili usifiwe, huo ni ukenge mwingi sana;
11. Code za kilokole, kuvaa masuruali ya vitambaa yenye celebration au turn-ups na mashati oversize, yaani ni ushamba mwingi sana;
12 Kuwa na chuki na watu waliofanikiwa au kabila fulani au watu wa kanda fulani hizo ni code za kishamba sana;
13 Kukaa kwenye fast lane (upande wa kulia wa barabaara huku unaendesha gari taratibu na unaongea na simu ni ushamba mwingi sana;
14 Kupiga piga honi nyingi barabarani bila sababu za msingi au kupiga honi getini kwako ili ufunguliwe ni ushamba sana(weka motor kwenye geti yako acha kusumbua majirani);
15 Ku park hovyo gari barabarani kama mtu wa dala dala ni ushamba mwingi sana.

Kuna mambo mengi sana ya kijinga zaidi haya bado yanendelea kufanywa na kuaminiwa na watu ambao ukiwaona utashangaa.

Kuna baadhi ya nyuzi nimejaribu kutoa humu JF nakupata uhalisia wa watu wetu na mitazamo yao na hiili limenifanya nitafakari uzi huu.






Hii ni sehemu ndogo tu ya reflection ya uhalisia wa watu wetu unaojitokeza kwenye comments zao

Hoja hupingwa na hoja iliyo bora na si vinginevyo
Mbona kunawatu wamezaliwa downtown na kukulia huko ila Bado wanaendekeza ushamba na uchawa
 
Kikubwa serikali iwekeze katika kuwapa elimu raia wote angalau Kila raia awe amemaliza chuo kikuu. Bila hivyo ujinga na ushamba hautaisha hata Yesu akikuja Leo .
Unajua elimu sio lazima iwe ya chuo kikuu? Nchi hii inaongozwa na wenye elimu mpaka ya udaktari wa filosofi, ila inaendeshwa vipi, kila siku wizi, rushwa, ubadhirifu, kutotii Katiba, sheria na taratibu.
Kinachokosekana ni nidhamu, uadilifu na hekima, na zaidi utu!.
 
Wanasema unaweza ukamtoa mtu kijijini lakini ukashindwa kutoa kijiji kichwani mwake

Maana yake nini, watu wetu wengi bado ni washamba sana (wapori-porii), bado wanatambaa na mawazo ya kale vichwani mwao.

Haijalishi huyo mtu amesoma shule mpaka levels gani, au amekuwa exposed kiasi gani au ameishi mjini kwa muda gani. Japo saa nyingine watu wanadhani kuzaliwa tu mjini peke yake ni elimu kubwa au kinga ya ushamba.

Hapa sina nia ya kumsema mwendazake na genge lake (sukuma gang) au watu wa mikoani, la khasha, hii ni kwetu sote, ata wa mjini.

Wanafanya matendo au wanatekeleza mila na tamaduni bila kujali athari zake au kuhoji uhalali wake, faida zake na relevance yake katika maisha ya sasa. Wengi ni watu walio kariri kwamba yale yote ya vijijini kwao ndiyo sahihi bila kuzingatia kwamba dunia inakwenda kasi sana

Ninatoa mifano midogo katika haya yanayofanyika:

1. Kusalimia salimia watu hovyo;
2. Kulaumu watu wengine wasipo shiriki misiba au sherehe:
3. Ku force force kujuana juana tunakoishi au mitaaini kwenye hustle nakasirika zaidi nikiwa safarini, sikujui hunijui unaniongelesha nini?;
4. Kulamba viatu vya viongozi na watu matajiri au wenye umaarufu (uchawa)
5; Kusengenya watu makazini, majumbani, kwenye nyumba za ibada na kwenye siasa;
6. Ulozi, kuloga watu wasifanikiwe au kujihusisha na ushirikina na kufanya matambiko;
7. Kufuatilia mambo ya watu wengine, udaku na umbeya mambo ya kishamba sana;
8. Kuongea ongea kwa nguvu kwenye public places, hii ikiwa ni,pamoja na kuongea kwa nguvu ukitumia simu na kujiongelesha mambo yako au kuwasha simu na kusikiliza audio au kutazama video zenye sauti kali kwenye hadhara ya watu, huu ni ushamba mwingi sana;
9. Kuwasha maredio kwa sauti kubwa, majumbani, kwenye gari au boda boda, au kwenye pubs au bar huu ni ukenge sana;
10 Kutembea na wake au wapenzi wa watu ili usifiwe, huo ni ukenge mwingi sana;
11. Code za kilokole, kuvaa masuruali ya vitambaa yenye celebration au turn-ups na mashati oversize, yaani ni ushamba mwingi sana;
12 Kuwa na chuki na watu waliofanikiwa au kabila fulani au watu wa kanda fulani hizo ni code za kishamba sana;
13 Kukaa kwenye fast lane (upande wa kulia wa barabaara huku unaendesha gari taratibu na unaongea na simu ni ushamba mwingi sana;
14 Kupiga piga honi nyingi barabarani bila sababu za msingi au kupiga honi getini kwako ili ufunguliwe ni ushamba sana(weka motor kwenye geti yako acha kusumbua majirani);
15 Ku park hovyo gari barabarani kama mtu wa dala dala ni ushamba mwingi sana.

Kuna mambo mengi sana ya kijinga zaidi haya bado yanendelea kufanywa na kuaminiwa na watu ambao ukiwaona utashangaa.

Kuna baadhi ya nyuzi nimejaribu kutoa humu JF nakupata uhalisia wa watu wetu na mitazamo yao na hiili limenifanya nitafakari uzi huu.






Hii ni sehemu ndogo tu ya reflection ya uhalisia wa watu wetu unaojitokeza kwenye comments zao

Hoja hupingwa na hoja iliyo bora na si vinginevyo
Hayo ni maoni yako, unajua vitu vingine ni tabia za watu tuu, kuna wengine wamezaliwa mjini na wapo kama unavyosema kwahio hayo ni mitazamo yako au vitu unavyochukia
 
Kula muhindi, karanga,ndizi kiporo na kurusha mabaki babarani wakati gari inatembea.
Kutupa takataka mda wa usiku maeneo ya barabara.
 
The probability that a person is ignorant is independent of any other characteristics of that person.

Ignorance is a variable that remains constant in all populations.

Every category you can imagine e.g politics, religion , education within the society has a fixed percentage of ignorant people.
 
The probability that a person is ignorant is independent of any other characteristics of that person.

Ignorance is a variable that remains constant in all populations.

Every category you can imagine e.g politics, religion , education within the society has a fixed percentage of ignorant people.
INDEED
 
Back
Top Bottom