Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,929
- 27,173
Nikiri wazi mimi ni shabiki wa Yanga kindakindaki kutoka moyoni. Lakini kwa hiki kilichofanyika imekua chukizo kwangu na kwa wengine wengi kama mimi. Najua wengine watabeza ila tayari nime unfollow kuanzia page ya Instagram mpaka viongozi wote wa Yanga.
Katika wakati kama huu hawakupaswa kutugawa hivi. Nakiri wazi nitabaki kuwa shabiki wa mpira kwa kuangalizia mabanda umiza tu, hata jezi sinunui mmetukera sana viongozi.
Shame Shame Shame.
Katika wakati kama huu hawakupaswa kutugawa hivi. Nakiri wazi nitabaki kuwa shabiki wa mpira kwa kuangalizia mabanda umiza tu, hata jezi sinunui mmetukera sana viongozi.
Shame Shame Shame.