mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Bado miezi Nane ya utawala wa ccm, na wezi wa Mali ya umma kwenda jela baada ya serikali ya ccm kuwa pango la kulinda na kuwaficha wezi Hawa
Muda uliobaki japo ni mkubwa Ila kwao ni kama sekunde, mjitahidi sana kuvumilia maana siku si nyingi wanaolia watacheka na wachekao kwao itakuwa msiba mkuu
Muda uliobaki japo ni mkubwa Ila kwao ni kama sekunde, mjitahidi sana kuvumilia maana siku si nyingi wanaolia watacheka na wachekao kwao itakuwa msiba mkuu