sosoliso
Platinum Member
- May 6, 2009
- 8,543
- 9,478
Nilikosea shem.. Dhumuni langu ni kumuandika mtalaka wako.. Nimesharekebisha.. Samahani kwa usumbufu..
really?...lol
aaa wap..nilivomkuta ndivo nilivomuacha..
mmmmmmhhhh..
umenifanya zezetaNdugu wana CC..
napenda kuchukua nafasi hii,kuwaweka wazi kua mimi mimisa sihusiki na mabadiliko ya kitabia na mwenendo wa zilipendwa wangu manoah..
umu ndani kuna minong'ono minong'ono inayonihusisha na tabia shitukizi za my x huyu..na kunitaja taja kua nahusika kwa namna moja ama nyingne..nazipinga kwa moyo wangu wote,akili zangu zote,na kwa matendo yangu yote. Bishanga ..ukwe hauishagi nasikia..napenda ujue kua mm sijahusika na mabadiliko ya mwanao..
copy😡stevoh Paloma sosoliso Kaizer na Mentor mwayaona haya?,
Bishanga, Baba V..na wengine wote