Badiliko la Manoah Kitabia..

Badiliko la Manoah Kitabia..

penzi lako lilimdatisha ndio maana kawwhuka baada ya kuachana na wewe
 
mie nasubiri comment ya manoah tu
na sitoshangaa kama hajacomment
 
Last edited by a moderator:
hakika huu haya maneno yako ni ushahidi tosha wa kuhusika kwako.
Hebu kanusha kwa ushahidi bhana na utueleze ulimuacchaje na sasa amekuwaje? hapa kuna mkono wako kabisa na ushahidi usio na shaka hupo mamisa.
 
Last edited by a moderator:
lakini nilikuambia ukasema mama wa kambo siyo mama mimisa vumilia mumeo huyo ulimpenda mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu wana CC..
napenda kuchukua nafasi hii,kuwaweka wazi kua mimi mimisa sihusiki na mabadiliko ya kitabia na mwenendo wa zilipendwa wangu manoah..
umu ndani kuna minong'ono minong'ono inayonihusisha na tabia shitukizi za my x huyu..na kunitaja taja kua nahusika kwa namna moja ama nyingne..nazipinga kwa moyo wangu wote,akili zangu zote,na kwa matendo yangu yote. Bishanga ..ukwe hauishagi nasikia..napenda ujue kua mm sijahusika na mabadiliko ya mwanao..
copy😡stevoh Paloma sosoliso Kaizer na Mentor mwayaona haya?,
Bishanga, Baba V..na wengine wote
umenifanya zezeta
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom