Ndugu wana CC..
napenda kuchukua nafasi hii,kuwaweka wazi kua mimi
mimisa sihusiki na mabadiliko ya kitabia na mwenendo wa zilipendwa wangu
manoah..
umu ndani kuna minong'ono minong'ono inayonihusisha na tabia shitukizi za my x huyu..na kunitaja taja kua nahusika kwa namna moja ama nyingne..nazipinga kwa moyo wangu wote,akili zangu zote,na kwa matendo yangu yote.
Bishanga ..ukwe hauishagi nasikia..napenda ujue kua mm sijahusika na mabadiliko ya mwanao..
copy
😡stevoh
Paloma sosoliso Kaizer na
Mentor mwayaona haya?,
Bishanga,
Baba V..na wengine wote