Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,832
Magari ya Bei Chee haya, sema Watanzania wengi tumelishwa matango pori, tumeyasadiki na tumeyafanya kuwa ndio dini yetu, eti gari Kama sio Toyota basi ni ndoa ya Kikristo
go 4 it..nakumbuka wkt mm naagiza premio yangu,jamaa angu nae aliagiza Aud A3..mpk leo bado anayo na haijawahi kumsumbua tatizo kubwa..ni haya ya kawaida brake pads etc..cha msingi zingatia tu service kwa wakti
Kitu ni BMW.BMW X3 vs Audi Q5.
Mfuko uwe umetuna piaKitu ni BMW.
Mnyama wa kijerumani barabarani.
Very correctNingependelea kuwa na BMW siku moja ila “electronic issues” zipo nyingi kwenye hao wanyama!
Kama ni chuma cha mjerumani labda kujitosa Porsche
Eeh yamekua hayaBMW nunua mpya Ila sio used kwani hata ulaya , USA wata wakimaliza warranty tu wanaziuza. Katika Germany car brands BMW ni kimeo ikija kwenye reliability, complications pamoja na ughali wa vipuri . Stay away from BMW kwa usalama wa wallet yako na moyo wako pia.
Mcheki hoovies garage,car ninja pamoja na Scott Kilmer YouTube. Car ninja ni BMW specialist mechanic huko marekani, Scott pia ni fundi mkongwe wa magari kwa zaidi ya miaka 40 huko US,hoovies garage ni collector wa exotic cars ila amekua akilizwa sana na BMW. Wote huwa wanasema kwa video zao BMW is a money pit car whether mpya au used . Buy at your own wallet riskEeh yamekua haya
So unawaambia wadau waendelee kununua IST?Mcheki hoovies garage,car ninja pamoja na Scott Kilmer YouTube. Car ninja ni BMW specialist mechanic huko marekani, Scott pia ni fundi mkongwe wa magari kwa zaidi ya miaka 40 huko US,hoovies garage ni collector wa exotic cars ila amekua akilizwa sana na BMW. Wote huwa wanasema kwa video zao BMW is a money pit car whether mpya au used . Buy at your own wallet risk
Mkuu, sambusa sio kavu tena.. imeunguasasa mkuu gari umelitoa japan au marekani...kufata vipuli dar ndo uone mbali?
Hapana bora hata VW, Audi kuliko BMW kwenye ishu ya reliability.So unawaambia wadau waendelee kununua IST?
Lets try to be serious mdau..ni watanzania wangapi wana uwezo wa kununua brand new cars...achana na BMW hata hizi Vits tuu...Mcheki hoovies garage,car ninja pamoja na Scott Kilmer YouTube. Car ninja ni BMW specialist mechanic huko marekani, Scott pia ni fundi mkongwe wa magari kwa zaidi ya miaka 40 huko US,hoovies garage ni collector wa exotic cars ila amekua akilizwa sana na BMW. Wote huwa wanasema kwa video zao BMW is a money pit car whether mpya au used . Buy at your own wallet risk
Mcheki hoovies garage,car ninja pamoja na Scott Kilmer YouTube. Car ninja ni BMW specialist mechanic huko marekani, Scott pia ni fundi mkongwe wa magari kwa zaidi ya miaka 40 huko US,hoovies garage ni collector wa exotic cars ila amekua akilizwa sana na BMW. Wote huwa wanasema kwa video zao BMW is a money pit car whether mpya au used . Buy at your own wallet risk
Anxiety weighs down the heart, but a kind word cheers it up.Haya mdio mawazo yaki masikini kabisa, hata ukimiliki toyota IST usipo itunza vizuri will also be money pit car! Kwa wale wapenda magari, love to drive. Bimmer is the best car to own na utafurahi ukiwa barabarani. Issue ni kuwa na ustaarabu na kulitunza. It's got alot of sensors, kama usipokuwa makini nalo serious will destroy your wallet.
BMW is as good as a Piece of cake if your bank account is good!Ningependelea kuwa na BMW siku moja ila “electronic issues” zipo nyingi kwenye hao wanyama!
Kama ni chuma cha mjerumani labda kujitosa Porsche