Badili mkao wa kitanda chumbani

 
Kwa hiyo chumba cha kulala kikiwa duara haya mambo unayosema hayapo? Nikilala sebureni je, yatakuwepo? Mimi naona haya mambo yana-exist kwenye mind yako na namna ya kuyafahamu si njia ya scientific research inayofahamika.
Kama unadhani dunia ipo kama ilivyo leo kwa scientific research tu unahitaji darasa zaidi
Hivi kwani chumba cha duara hakina pande nne?
 
Mshana ni moja ya koo maskini na ya kishirikina kule upareni...

Sitashangaa kusikia huyu jamaa anawapiga fix mpaka wabunge na mawaziri na anawalambia pesa zao
Replies kama hizi huwa ni sawa na chachandu kwenye nyama choma, hazina faida zaidi ya kunogesha ulaji
 
Mkuu nimekuwa muumini wa kusoma thread zako nikijipatia ufahamu wa mambo mapya na magumu.nawaza kwa sauti na kona umuhimu wa kuuliza swali kwako mkuu.hivi mkuu Elimu ya haya mambo unayotupatia inapatikana chuo gani?
 
Bora nimesoma hii thread asubuhi, ningesoma usiku basi mawazo tu ningejikuta naota ndoto mbaya.....
Kitanda kimeangalia north ila akuuuuu naota ndoto nzuri nzuri tu za pesa na mapenzi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Huwa sibadili hata siku moja. Lkn kaka yangu ni bingwa ktk hili. Alikuwa ananikera sana
 
Dah Kuna mzee niliwah msikia akisema ndo utajua kwa nini kitanda huwekwa kwenye kona na si katikati Hii maana yake nini?
Kupata balance, maana ukuta unatoa balance tofauti na katikati ambapo kitanda kinakuwa kama kina hang
 
Hapa nakupinga mshana kwasababu hili swala nimelifanyia utafiti sana.
Ukweli ni kwamba, kama chumba chako hakijakaa levo /yaani kuna upande kumeinama au kitanda chako kimenyanyuka upande mmoja.. Ukilala kwa kuelekeza kichwa upande ambao maji yanaelekea pindi yanapomwagika basi ndio ndoto huwa nyingi na za ajabuajabu.
Lakini ukielekeza kichwa upande ulionyanyuka basi unaweza hata kuchukua mwezi hujaota kabisa.
Mimi huwa nikitaka kuota mfululizo basi nanyanyua kitanda upande wa miguuni ili kichwani kuwe kumeinama.

Hii ni kwa kila nilipoishi na sii nyumba moja tu!
Swala la kuhusisha kila kitu na imani za kushirikiana ni kuzidi kuidumaza jamii.

Kama huamini jaribu leo kunyanyua kitanda upande wa miguuni /kichwa kiwe upande ulioinama alafu ulete mrejesho.
Tangu nikiwa na umri wa miaka 7 niligundua hii hali ya kuwa ukilala upande wa kichwa ukiwa ukiwa umeinama basi ndoto haziishi
 
At least umenipinga kwa hoja lakini kuna mahali umeharibu kidogo! Hebu nisome para mbili za mwisho za post yangu
Vile vile kuna vyumba vipo level kwahiyo hoja ya kuwa kuna upande upo juu au chini kidogo inaleta makengeza
Msingi wa post yangu ni kutahadharisha watu kukimbilia kwa waganga wa kienyeji kila wanapoona mauzauza, bahati mbaya sana kuna baadhi walisoma juu juu tu kisha wakatoa maoni ya kuchekesha mno
 
Mimi napinga hapo unaposema kuwa kwenye chumba kuna kona mbazo ni makazi ya roho chafu mkuu.
 
Mimi napinga hapo unaposema kuwa kwenye chumba kuna kona mbazo ni makazi ya roho chafu mkuu.
Japo si vyumba vyote lakini hili lipo tena lipo sana.hizi roho chafu zina makazi yao kila mahali barabarani nyumbani hotelini nk nk
 
Sababu ni ipi sasa kitanda kikiinama unaota? Na unaota ndoto za namna gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…