Badala ya Maafisa wa Jeshi kuweka mipango ya kifisadi ya kutenga pesa kwa JKT Vijana wasomi wanatakiwa kuwa Wazalendo na kupelekwa kufundisha shule zote Tanzania. Kama kweli tunahitaji uzalendo ni elimu na msindi wa maendeleo atakuwa mwenye elimu zaidi!
Hatuna majirani wanaotafuta vita na Tanzania pesa hiyo ingetumika kuwapa posho vijana wanaomaliza shule na kuweka utaratibu wa hawa vijana kufundisha kwa miezi sita.
Hatuna majirani wanaotafuta vita na Tanzania pesa hiyo ingetumika kuwapa posho vijana wanaomaliza shule na kuweka utaratibu wa hawa vijana kufundisha kwa miezi sita.