Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Hahahahahaaaa.... Nahisi ulikuwa Ndembela wewe.... wale ndo walikuwa na "alergy" na yale mawe..
Umenigusa mkuu
Hahahahahaaaa.... Nahisi ulikuwa Ndembela wewe.... wale ndo walikuwa na "alergy" na yale mawe..
Nilikaa chooni Karibu dakika 45 kisa sitaki kwenda kusali lakini mwalimu alinivumilia na kuanza kunitembeza madarasa yote kama mimi ni mtu WA kwenda motoni. Walisoma alharamain nafikiri mnanikumbuka.
Nalog off
Mmmh.. niliwahi dakwa darini na lita zangu tatu za Ulanzi kutoka Ibigi. Tuliokuwa nao Aggrey miaka hiyo watakuwa wanakumbuka.
Umenigusa mkuu
mlee V vizuri ili asijefanya haya
Haya mengine watoto wanajivumbuli wenyewe tu.. Najitahidi V aenende katika njia salama.
nimebadilika sananadhani baada ya shule umebadilika
Mie nimekumbuka nilivyokua najimudu kwenye sAbJJekTi yA bAyoROjii na mASeMaTikSI