Back to the school

Mtoto halali na hela

JF-Expert Member
Aug 10, 2012
47,853
41,186
Habari za weekend wana cc, nimekutana na classmate wangu wa enzi za O level tumekumbushana mengi sana ikiwemo vituko vilivyo happen enzi tunasoma. Mbali na utoro ambao ni common kituko gani ukikimbuka unabaki hoi, mimi binafsi ni kupiga kengele dakika 5 baada ya kuingia darasani kwa kukosa msosi wa mchana wewe je?.
 
Mmmh.. niliwahi dakwa darini na lita zangu tatu za Ulanzi kutoka Ibigi. Tuliokuwa nao Aggrey miaka hiyo watakuwa wanakumbuka.

Wewe ungesoma Itende ulanzi ungekukoma maana wanautengeneza zero distance kutoka madarasani
 
Mmmh.. niliwahi dakwa darini na lita zangu tatu za Ulanzi kutoka Ibigi. Tuliokuwa nao Aggrey miaka hiyo watakuwa wanakumbuka.

hahahaaa! kuna jamaa alikutwa darini anapiga kitabu, kaunganisha hadi balb, kaweka godoro na neti juu, acha aletwe assemble huku kabebeshwa furushi la hivo vikorokoro!
 
Nakumbuka mwalimu wa physics alivokuwa akituchapa fimbo za ------ kisa tumekosa kipindi yaani ningemuona saivi nampiga mawe
 
Nakumbuka nikiwa o'lev na cheo cha utunzaji mud a, kengele ya mapmuziko na kuondoka nilikuwa nawahi kugonga, lakin ya kuingia darasani hadi nikumbushwe,,,,,
 
Nilikaa chooni Karibu dakika 45 kisa sitaki kwenda kusali lakini mwalimu alinivumilia na kuanza kunitembeza madarasa yote kama mimi ni mtu WA kwenda motoni. Walisoma alharamain nafikiri mnanikumbuka.
Nalog off
 
Nakumbuka niliitwa assemble ili nitoe morning speech,nikachikichia mitini; Kasulu sec mpoooo!
 
Wewe ungesoma Itende ulanzi ungekukoma maana wanautengeneza zero distance kutoka madarasani

E bwana Rungwe Sec. tulikuwa tunaufuata kijijini, raha ilikuwa lita moja inauzwa sh.25 basi unaenda na sh.50 lakini kabla ya kununua hizo lita 2 unajikuta umeonja zaidi ya lita 5 kwa watu tofauti. unajikuta umelewa hizo mbili unaenda kuzifungia darini..
 
E bwana Rungwe Sec. tulikuwa tunaufuata kijijini, raha ilikuwa lita moja inauzwa sh.25 basi unaenda na sh.50 lakini kabla ya kununua hizo lita 2 unajikuta umeonja zaidi ya lita 5 kwa watu tofauti. unajikuta umelewa hizo mbili unaenda kuzifungia darini..

Hivi yale mawe pale Rungwe sec bado yapo? Mlikuwa nmaturushia mkifungwa kwenye match za mpira😏
 
E bwana Rungwe Sec. tulikuwa
tunaufuata kijijini, raha ilikuwa lita moja inauzwa sh.25 basi unaenda
na sh.50 lakini kabla ya kununua hizo lita 2 unajikuta umeonja zaidi ya
lita 5 kwa watu tofauti. unajikuta umelewa hizo mbili unaenda kuzifungia
darini..

Jamani,haya ya kweli au ndo mambo ya CC daah! Mpaka mbavu zinaniuma kwa kicheko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom