Back the memory lane

Jiko la stove... Linatumia mafuta ya taa lakini linawaka kama gas... Kuna taa ya karabai pia....

Jr[emoji769]
Naam hili jiko linatumia mafuta ya taa pia lazima ulijaze upepo pembeni apo karibu na ufuniko kuna pump na kabla ya kulijaza lazima utumie sindano maalumu ndogo sana kuchokonoa sehemu yakutoa gas chini kidogo ya burner.Kuna vijana niliwapa waliwashe wakazunguka nalo mtaa mzima.
 
Utu uzima dawa

Jr[emoji769]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…