Sijakuelewa, ndinga gari au ndinga kalio la demu wako?Habari Wakuu, nataka niweke back camera kwenye ndinga, naomba kujua fundi wanapatikana wapi kwa Dar es Salaam , na bei ya kuinstall hiyo kitu ni kiasi gani nijipange.
Duh mara mbili nishaburuza baiskeli zilizoegeshwa nyuma ya gari yangu! Nimeona umuhimu wa camera!Habari Wakuu, nataka niweke back camera kwenye ndinga, naomba kujua fundi wanapatikana wapi kwa Dar es Salaam , na bei ya kuinstall hiyo kitu ni kiasi gani nijipange.
Mwezi uliopita niliiburuza pikipiki jamaa yaani kapaki nyuma yangu hapohapo mi nilikuwa na haraka kidogo dah nikaibutua imekwangua bampa la nyuma ila si sana ni kialama tu kidogo nimeona umuhimu wa hii kitu, halafu ukiweka tinted ndo kabisa uhitaji ni mkubwaDuh mara mbili nishaburuza baiskeli zilizoegeshwa nyuma ya gari yangu! Nimeona umuhimu wa camera!
dahSijakuelewa, ndinga gari au ndinga kalio la demu wako?
Pale mwenge ukitoka mataa kabla ya kona ya kwenda ITVHabari Wakuu, nataka niweke back camera kwenye ndinga, naomba kujua fundi wanapatikana wapi kwa Dar es Salaam , na bei ya kuinstall hiyo kitu ni kiasi gani nijipange.
Habari Wakuu, nataka niweke back camera kwenye ndinga, naomba kujua fundi wanapatikana wapi kwa Dar es Salaam , na bei ya kuinstall hiyo kitu ni kiasi gani nijipange.
Nenda Lumumba unanunua na kufungiwa hapo hapoNimemcheki kasema bei inategemea na aina ya gari, ila kwa gari type ya crown ni elfu 80 installation
Kivipi mkuuUtakuwa una shida ww sio bure😅😅