Back Camera

Sizinga

Platinum Member
Oct 30, 2007
9,100
6,022
Habari Wakuu, nataka niweke back camera kwenye ndinga, naomba kujua fundi wanapatikana wapi kwa Dar es Salaam , na bei ya kuinstall hiyo kitu ni kiasi gani nijipange.
 
Habari Wakuu, nataka niweke back camera kwenye ndinga, naomba kujua fundi wanapatikana wapi kwa Dar es Salaam , na bei ya kuinstall hiyo kitu ni kiasi gani nijipange.
Duh mara mbili nishaburuza baiskeli zilizoegeshwa nyuma ya gari yangu! Nimeona umuhimu wa camera!
 
Duh mara mbili nishaburuza baiskeli zilizoegeshwa nyuma ya gari yangu! Nimeona umuhimu wa camera!
Mwezi uliopita niliiburuza pikipiki jamaa yaani kapaki nyuma yangu hapohapo mi nilikuwa na haraka kidogo dah nikaibutua imekwangua bampa la nyuma ila si sana ni kialama tu kidogo nimeona umuhimu wa hii kitu, halafu ukiweka tinted ndo kabisa uhitaji ni mkubwa
 
Habari Wakuu, nataka niweke back camera kwenye ndinga, naomba kujua fundi wanapatikana wapi kwa Dar es Salaam , na bei ya kuinstall hiyo kitu ni kiasi gani nijipange.
eid.png


check na huyu jamaa yupo magomeni mapipa
 
Back
Top Bottom