asante kiongozi unaweza kunipa sababu kama hautojari..
Kwanza nilikua naangalia masomo wanayosoma, upande ya comp security wako more specific kuliko it ya kawaida!
Watu wa security wanasoma almost kila kitu cha mtu wa it ya kawaida, ila wao wanakua wamebase sana kwenye network na security!!
It ya kwaida na comp security wote wanasoma programming kuanzia java, c mpaka web development ila faida ya comp security anakua anabase sana kwenye security na ana modules nyingi za upande huo!!
Mkuu sasa hivi ukiacha nuclear weapons ambazo mmarekan anakimbizana na akina kiduku pia ukiacha terrorism TISHIO LINGINE LINALOITIKISA DUNIA NI CYBER SECURITY AND ATTACKS!! unajua nini kilitokea kwenye uchaguzi wa usa mwaka jana?? Hahaha kama hujui ile ilikua kazi ya mrusi!!
Tuachane na hao wamarekan tuje hapa kwetu..
Unakumbuka TRA ilisema wafanya biashara wanunue tena mashine za EFD unajua walitoa sababu gan? Ni kwamba mfumo wa zile mashine za kwanza uli hakiwa kwa hiyo hawakua na jinsi zaidi ya kuwaambia wafanyabiashara wanunue tena mashine mpya!!
Kila siku websites zina dukuliwa...
Hii ndio sababu watu wa comp security wanahutajika ili wazuie matatizo kama haya!!
Mind you, usisome kwasababu ina ajira au haina... Ukitaka kufanikiwa kwenye field za computer unachohitaji ni PASSION na sio soko la ajira!!
If you have passion then go for it otherwise bora usiende!!