paul kitereja
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 260
- 45
ni kweli kabisa bt wanafundisha vizuri tu ingawa sisomi pale!
Ifm ni taasisi na haina hadhi ya kuwa chuokikuu
kama ni taasisi ni kwanini kipo chin ya tcu na ni registered university with qualification to run university programs and services
SIKU Ukiwa unaenda kuanza chuo pale IFM usisahau kubeba Mikanda Ya GUCCI, LOUIS VOUITON,VIATU AINA YA SUPRA,CAROLITE na JEANZ ZA KUBANA! Make sure unakuwa navyo hivyo ili uweze ku-cop na mazingira ya pale!
Ifm ni taasisi na haina hadhi ya kuwa chuokikuu
IFM HAINA HADHI YA CHUOKIKUU NI TAASISI,CHUO CHENYEWE AVerage40%,Ni taasisi ambayo kwenye ranks inawazidi hata hivyo vinavyoitwa chuo.....acha wivu wa kike piga kimyaaaa
Ni taasisi ambayo kwenye ranks inawazidi hata hivyo vinavyoitwa chuo.....acha wivu wa kike piga kimyaaaa
kweli ifm ni taasisi na sio chuo kikuu
kwan muccobs ndio chuo?huwez linganisha lichuo lako la kata {muccobs} na ifm hata cku moja..ifm level nyingne.nakushangaa we dume zima unasomea mambo ya ushirika mpaka leo.
kukosa kujiamini na maarifa utasoma hadi mapepe.so lazima uajiriwe
mpigamsuli ni khadija kopaaa kila sehemu yupo anatafutaa na_ma_b_wa.
huna akili timamu mbuzi jike wewe unaniletea matusi baada ya kushindwa hoja??
hoja hunaa! Kakojoe ulale