Bachelor of banking and finance IFM

Bachelor of banking and finance IFM

admins mumefuta ile comment??....siwaingilii kazi yenu lakini mulikuwa mnatakiwa kumuonya huyu jamaa aache kuongea utumbo wake kwani anakera watu....watu wamejitoa kwenda kutafuta maisha ifm ye anaandika ujinga ujinga wake....sikupenda kumtukana lakini nadhani amestahili kwa alichokipata....nna hasira sana mnisamehe tu

wameona ujinga umeandika ndio maana wameifuta
 
wewe niondokee hapa mimi na wewe nani kakosa hoja?? , eti average50% mitihani rahisi umefanya mingapi? ?

wewe una lolote! Mitihani yenu haina viwango ndo maana average 50% nitajie vyuo ambavyo average yake ni 50% hapa Tanzania vpo vingapi? Kakojoe ulale
 
wewe una lolote! Mitihani yenu haina viwango ndo maana average 50% nitajie vyuo ambavyo average yake ni 50% hapa Tanzania vpo vingapi? Kakojoe ulale

1.SUA 2.MUCCoBS 3.MZUMBE 4.SAUT
 
1.SUA 2.MUCCoBS 3.MZUMBE 4.SAUT

kwenye rank ya vyuo bora africa vinashika nafasi ya ngap? Au kule hawajui kama vina average ya 50% (it means msuli wake mkali sana)....jiulize kilaza wewe
 
kwenye rank ya vyuo bora africa vinashika nafasi ya ngap? Au kule hawajui kama vina average ya 50% (it means msuli wake mkali sana)....jiulize kilaza wewe

ardhi ipo number ngapi?
 
kwenye rank ya vyuo bora africa vinashika nafasi ya ngap? Au kule hawajui kama vina average ya 50% (it means msuli wake mkali sana)....jiulize kilaza wewe
umeshakubali kwamba shule yako rahisi ? Average 40%
 
dalili za kushindwa kwan mm nashindanishaa vyuoo! Me nakurekebisha ww na hzo average zako za lichuo la ushirikaaaa

hahaha dogo unakataa kwamba shule yako sio rahisi?? , ikiwa average ni 40%
 
NANI KAKUULIZAA , HUNA HOJA YA MSINGI MBELE YANGU ZAO LA SPECIAL SCHOOL, MUCCoBS NI Constituent college ya SUA , KAMA ILIVYO DUCE,!! SASA BASI HATUWEZI KULINGANISHWA NA TAASISI, !! HALAFU WEWE AVERAGE YAKO(UDSM),NI 40% , AMBAPO KWETU SISI SUA(MUCCoBS),NI E!! NA B YAKO HAPA SUA(MUCCoBS) NI C IKIMAANISHA UKIPATA G.P.A YAKO YA 3.0 UKIJA HAPA (SUA)MUCCoBS NI SAWA NA G.P.A YA 2.0!! , SUA(MUCCoBS), KWA MUJIBU WA CHUO CHETU KIKUU

Dogo -------- kweli,eti "zao la special school!"
Watu wenye uelewa wetu tumesoma special,tena O Level na A level,na kuweka A's zote,bt linapo kuja suala la vyuo tunaangalia UBORA wa product zinazo tolewa,na sio idadi ya programs na wanafunz.
Hii ndo tofaut kubwa kati ya Vyuo vikuu na Taasis/vyuo.
We endelea kujidanganya tu kuwa UDSM na SUA ndio vyuo,afu utatia akili kwenye real life.
 
tatzo ajiraaaa........... M nilikuwa napenda kusoma B.A PA tatzo n kaz ndio maana nimekmbilia ed then nitachange mbele ya safar

“I advise you to stop sharing your dreams with people who try to hold you back, even if they're
your parents. Because, if ur the kind of person
who senses there's something out there for you
beyond whatever it is you're expected to do - if
you want to be EXTRA-ordinary- you will not get there by hanging around a bunch of pipo who
tell you you're not extraordinary. Instead, you will
probably
become as ordinary as they expect you to be.”.....if u failed to get what u want learn to like what u have got.
 
wameona ujinga umeandika ndio maana wameifuta

We chokko unanivaa tena jiangalie this time utakuja kuni PM huku unavuja machozi ---- we..ile ya jana umeona haitoshi sio???.......na nyie admins mnashuhudia kila kitu hapa why don't u act accordingly??..mmekalia kufuta comments za watu tu
 
Dah wakuu habarini,mimi pia nina mpango wa kusoma hii kozi ...naombeni mnipe maujanja ya kutosha wakuu
 
Back
Top Bottom