Kwa hiyo una mpango gani kuwa na huo uzao mkubwa na mrefu?au hutaki jina litanuke kwa kasi?
Bacha...........Happy Birthday ndugu mpendwa.
Avatar yako .....duh!!
happy bday mkuu.
uzidi kukua,kama hujafunga ndoa ufunge,uzae,uzeeke na mwisho ukufe.
Kumbe mwezi wa 3 tumezaliwa wengi.
HAPPY BIRTHDAY BACHA.
Hongera kwa kuzaliwa katika kipindi hiki cha kwaresma,
Ukue katika kimo na busara kwa kuishika imani
Mungu mwenye heri akuongezee uhai
Heri ya kuzaliwa kiongozi , sasa Bacha tupe cordinates wapi tuna smashi zemu botlozi?
Happy bday Bacha,nakutakia maisha mema yenye upendo na amani
Bacha sio muaandaji yeye ni mtoto. Kwa mawasiliano zaidi ya logistics wasiliana na mimi
Hujachelewa kabisa ndo kwaanza maandalizi yanaendelea. Karibu sana!!!