Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole jana nimekutafuta kweli sikupati kwenye simu siku nyingine usijali
Happy birthday Bacha, mi nimechelewa hujanibakishia kipande cha keki?
Hili toto bacha bado limelala?
We Dena hapo juu hebu twende PM kule.
Dah, asanteni sana wapendwa,<br />
kwa wale wote mlionikumbuka katika siku yangu,<br />
ya kuzaliwa, Mungu awazidishie kila la heri!mbarikiwe sana,<br />
jana nilikuwa naweka DEKO la kufa mtu!!!!!!!!<br />
MUNGU ANAWAPENDA NYOTE!!!!!!!!!!!
Dah, asanteni sana wapendwa,
kwa wale wote mlionikumbuka katika siku yangu,
ya kuzaliwa, Mungu awazidishie kila la heri!mbarikiwe sana,
jana nilikuwa naweka DEKO la kufa mtu!!!!!!!!
MUNGU ANAWAPENDA NYOTE!!!!!!!!!!!
Hapana 2ntu MMU hakuna jipya. Yale yale 2 ya kutafuta wachumba.Kulikoni Kokudo potea sana jamvini, umepata Serengeti???
[/COLOR]
Cjapasoma DA we nae ndo mana roho ilisita kuingia humu jf leo ona sasa.Mimi nawasiwasi na waarabu naona kama washamchanganya na Almasi ha ha ha ha Kokudo usisome hapa
Hapana 2ntu MMU hakuna jipya. Yale yale 2 ya kutafuta wachumba.