Bacha......................Happy Birthday!!!!!!!

Dena Amsi

R I P
Aug 17, 2010
13,082
4,260
Napenda kuchukua fursa hii kwa upendo wa dhati kabisa kukutakia maisha mema na marefu kwa siku yako ya kuzaliwa.

Mungu akupe nguvu, hekima, uwezo, na afya njema kwa miaka zaidi 100000 ijayo!!

Happy Birthday BACHA!!!!!!!

Wana JF tuungane kumpongeza ndugu, rafiki yetu mpendwa Bacha kwa kuongeza umri katika maisha yake. Mungu awabariki sana!!!!

Regards

DA
 

Attachments

  • cake442[1].jpg
    cake442[1].jpg
    19.5 KB · Views: 107
HBDay Bacha nakutakia maisha mema yenye furaha na ushindi mnono wa kiungu liver longer like henoko!

Nakuja na singo moja ya ka wimbo hapa halafu utake Action fasta! Kata keki tuleex9 kata keki kata keki kata keki tulee! Ngoja nikachukue umma nakuja usiondoke
 
Happy BD Bacha
Live longer
Mungu akujalie uzao mkubwa na mrefu jina lako lisififie daima
 
Hongera mkuu Bacha kwa kuzidi kulisogelea kaburi.

Birthday party wapi nikapange viti?
 
Happy birthday Bacha!!
Mungu akupe maisha marefu,
Akupe nguvu nyingi kama Samsoni,
Na hekima nyingi kama Suleiman.
Usiwe mchoyo bacha, tukaribishe,
Kwenye birthday!!!
 
Happy birthday dear
hongera sana kwa kukimbilia uzee
huko ndiko kwenye busara na hekima nyingi..
usisahau wajukuu na vitukuu ukifika huko ....Amen
 
Napenda kuchukua fursa hii kwa upendo wa dhati kabisa kukutakia maisha mema na marefu kwa siku yako ya kuzaliwa.

Mungu akupe nguvu, hekima, uwezo, na afya njema kwa miaka zaidi 100000 ijayo!!

Happy Birthday BACHA!!!!!!!

Wana JF tuungane kumpongeza ndugu, rafiki yetu mpendwa Bacha kwa kuongeza umri katika maisha yake. Mungu awabariki sana!!!!

Regards


DA


lol, asante Dena wangu,
ubarikiwe,lol miaka 1000, mmmh!
 
Hongera mkuu kwa kuongeza uzee na hekima inazidi kuongezeka pia maana ukubwa nao dawa
 
HBDay Bacha nakutakia maisha mema yenye furaha na ushindi mnono wa kiungu liver longer like henoko!

Nakuja na singo moja ya ka wimbo hapa halafu utake Action fasta! Kata keki tuleex9 kata keki kata keki kata keki tulee! Ngoja nikachukue umma nakuja usiondoke

asante Derimto!,
nakasubiri hako ka wimbo!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom