Nasikitika kukwambia unachoongea hukijui hata kidogo.
sasa unasema baf inahusiana na maswala ya accounting and finance kwani B,com in accounting na Bachelor in accounting haideal na hivyo vitu????, kwa taarifa yako masomo yote 25 yanayosomwa kwenye baf yapo kwenye b.com na ba.c ambazo zina masomo 32.
Hizo IAS na IFRS zinafundishwa b.com na b.a.c, Kuanzia ppe, leasing, n.k,
Masomo hayo pungufu ambayo baf hawasomi na ni yamuhimu kwa fani ya muhasibu ni
Advanced taxation / Taxation 2
Financial Analysis / Internidiate accounting
Forensic Accounting and Fraud Investigations / contemporary issues in accoung