DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,912
Mambo yakienda hivyo mwisho wa siku mmoja anapotezwa na magunia ya mkaa.
Acha uchonganishi mzinzi weweHuna mwanaume hapo...mlungi huoo,,,usikute unakuja kuolewa na mwwnamke mwenzio tu
Acheni kunipotosha
Hivi mwanamke anakuwaje moja ya priorities za mwanaume?The guy has priorities, but you are not one of them!...mimi kama mwanaume nina uhakika asilimia tisini huyo jamaa hakupendi?
Ni maoni yakoAcha uchonganishi mzinzi wewe
Jisemee wewe nafsi yakoHivi mwanamke anakuwaje moja ya priorities za mwanaume?
Yaani mtu mnayekutana ukubwani kabisa.
Tutafuteni hela tu.
Tutawapata wa kila aina.
Naomba kujua unaweza kuwa mwenyeji wa wapi tz hiiBado
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapana mkuu sijawazalau ila najua wanaume wengi wako hivyo na kama wewe hauko hivyo basi hongera sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na una amini?Huyu ataki papuchi ,aliniambia hatanigusa Hadi tuoane,na nimjuavyo ndivyo alivyo ,.
Aisee
AiseeNilichonote ni kwamba kuna invitation hapo, watu wa Dom kazi kwenu.
Ngoja nizame PMNilichonote ni kwamba kuna invitation hapo, watu wa Dom kazi kwenu.
Aisee
Ukisoma mstari kwa mstari unaelewa tu lengo ni nini!
Huu mwaka kabla haujaisha nina assignments 4 za JF za namna hiyo, kuna research nafanya, nitaleta mrejesho, mbili za Dar, moja Mwanza, Moja Dodoma, na ya Arusha.