Baby utanipa lawama[emoji24]

Baby utanipa lawama[emoji24]

Anaona una mzingua tu ....haiwezekani Mtu haujaonana nae mwaka mzima then iwe hana shauku ya kuonana nawe wakati anakupenda !!!!

Acha akajilie papuchi anayoipenda huko BK ..... (BwA hahaaa)

Sasa mbona unamcheka Tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sema wewe mwanaume bwana
Sio vizuri kutuzalau wote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapana mkuu sijawazalau ila najua wanaume wengi wako hivyo na kama wewe hauko hivyo basi hongera sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
humu watu wanakuambia kweli kwa sababu hawajulikani ingekuwa wanajulikana wasingekuambia ukweli moja kwa moja.. unaweza kuta hata huyo anaesema akupendi asilimia 100 kumbe ndiyo huyo huyo unaejiaminisha ni mahabuba waswahili wasemavyo
Kweli
 
Hebu ujiongeze na wewe, mwaka mzima kabisaaaaaaa!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom