Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,631
- 38,749
Huna mwanaume hapo...mlungi huoo,,,usikute unakuja kuolewa na mwwnamke mwenzio tuHuyu ataki papuchi ,aliniambia hatanigusa Hadi tuoane,na nimjuavyo ndivyo alivyo ,.
Huna mwanaume hapo...mlungi huoo,,,usikute unakuja kuolewa na mwwnamke mwenzio tuHuyu ataki papuchi ,aliniambia hatanigusa Hadi tuoane,na nimjuavyo ndivyo alivyo ,.
Vitoto vya Facebook mkishakuja huku ni kisanga[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mimi:Kesho ukimaliza pepa una ratiba gani
Yeye:Naenda Bagamoyo kwa ancle wangu
Mimi:Then after
Yeye:Baada ya hapo Nitaenda home (Bk)
Mimi:Muda mrefu hatujaonana lakini na kumbuka tulipanga ukimaliza UE tutakuwa na muda mzuri wa kuongea kuhusu muelekeo wa mapenzi yetu
Yeye:Ni kweli mama Ila naona kidogo ishu ya hela inakuwa ngumu kwa upande wa nauli ya kuja Dom.
Tufanye kukutana stand ya dodoma angalau tusalimiane nitakapokuwa naenda Bk
Mimi🙁Kwa unyonge Sana ),Sawa.
""""Kuna kijana anakuja kwa kasi ya 4G nimemkataa kwa sababu sipendi kukuumiza kwa Mara ya pili
Pamoja na changamoto unazopitia wakati huu nimeamua kujifunza kukupenda kwa sababu una moyo mzuri uliojaa upendo , I see the bright future a head with u darling
Ila maswala ya mapenzi uyapi kipaumbele kabisa ,can u imagine mwaka mzima hatujaonana hata kwa kiss tu na kunishika mkono???? yet unasema unanipendaaa?,BABY UTANIPA LAWAMA[emoji24]
Couples za chuo[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mimi:Kesho ukimaliza pepa una ratiba gani
Yeye:Naenda Bagamoyo kwa ancle wangu
Mimi:Then after
Yeye:Baada ya hapo Nitaenda home (Bk)
Mimi:Muda mrefu hatujaonana lakini na kumbuka tulipanga ukimaliza UE tutakuwa na muda mzuri wa kuongea kuhusu muelekeo wa mapenzi yetu
Yeye:Ni kweli mama Ila naona kidogo ishu ya hela inakuwa ngumu kwa upande wa nauli ya kuja Dom.
Tufanye kukutana stand ya dodoma angalau tusalimiane nitakapokuwa naenda Bk
Mimi🙁Kwa unyonge Sana ),Sawa.
""""Kuna kijana anakuja kwa kasi ya 4G nimemkataa kwa sababu sipendi kukuumiza kwa Mara ya pili
Pamoja na changamoto unazopitia wakati huu nimeamua kujifunza kukupenda kwa sababu una moyo mzuri uliojaa upendo , I see the bright future a head with u darling
Ila maswala ya mapenzi uyapi kipaumbele kabisa ,can u imagine mwaka mzima hatujaonana hata kwa kiss tu na kunishika mkono???? yet unasema unanipendaaa?,BABY UTANIPA LAWAMA[emoji24]
Mmmmh kweli eehempaka sasa haujajua kwanini yeye ni mwanaume mwanaume yupo radhi aisubiri hata miaka miwili huku akiw anagusa nyingine akikuamnisha yupo na wewe siku ukimpa ndio utajua alikua ana mapenzi ya kweli au lah huwa hatutaki kukosa vyote
HahahahaCouples za chuo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Vitoto vya Facebook mkishakuja huku ni kisanga
Na hapo wangapi washaitafuna hiyo papa mpaka sasa...??? be honestHuyu ataki papuchi ,aliniambia hatanigusa Hadi tuoane,na nimjuavyo ndivyo alivyo ,.
AiseVitoto vya Facebook mkishakuja huku ni kisanga
Huyu ataki papuchi ,aliniambia hatanigusa Hadi tuoane,na nimjuavyo ndivyo alivyo ,.
Alafu tayari amempukuchua uko chini...The guy has priorities, but you are not one of them!...mimi kama mwanaume nina uhakika asilimia tisini huyo jamaa hakupendi?
Siyo yeyeNdio yule aliekutumia 120k?
BadoNa hapo wangapi washaitafuna hiyo papa mpaka sasa...??? be honest
Kwahiyo mwaka mzima hujambwato...???Bado
sikia nakuja dodoma hivi karibuni nipe pm namba yako tuyajenge[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mimi:Kesho ukimaliza pepa una ratiba gani
Yeye:Naenda Bagamoyo kwa ancle wangu
Mimi:Then after
Yeye:Baada ya hapo Nitaenda home (Bk)
Mimi:Muda mrefu hatujaonana lakini na kumbuka tulipanga ukimaliza UE tutakuwa na muda mzuri wa kuongea kuhusu muelekeo wa mapenzi yetu
Yeye:Ni kweli mama Ila naona kidogo ishu ya hela inakuwa ngumu kwa upande wa nauli ya kuja Dom.
Tufanye kukutana stand ya dodoma angalau tusalimiane nitakapokuwa naenda Bk
Mimi🙁Kwa unyonge Sana ),Sawa.
""""Kuna kijana anakuja kwa kasi ya 4G nimemkataa kwa sababu sipendi kukuumiza kwa Mara ya pili
Pamoja na changamoto unazopitia wakati huu nimeamua kujifunza kukupenda kwa sababu una moyo mzuri uliojaa upendo , I see the bright future a head with u darling
Ila maswala ya mapenzi uyapi kipaumbele kabisa ,can u imagine mwaka mzima hatujaonana hata kwa kiss tu na kunishika mkono???? yet unasema unanipendaaa?,BABY UTANIPA LAWAMA[emoji24]
Kifungo huru hicho mkuu kwahyo nawewe umeridhika nae ?Fafanua mkuu