Baby utanipa lawama[emoji24]

Baby utanipa lawama[emoji24]

Sasa huu ujumbe si ungemtumia yeye baby wako

Vijana wa kileo sijui mnakwama wapi au na yeye yupo JF forum

Good communication is a key to the most social issues including the bright future ahead of you n’ your baby
Ameshindwa kumwambia live kaja kulimwaga huku
 
Weka kapicha dada huenda ukasaidiwa ushauri


Jamaa kamaliza UE kafulia hana nauli ya kuunga unga na ww mwaka mzima ulishindwa kujiongeza kumfata Dar???

Mi kutoka Dar kuja Dom kujufata hata kesho nakwea FIRST CHOICE[emoji6][emoji6]
Nàuli si ishirin tu ?
 
Hivi ni mimi sijaelewa au vipi!!! Hii mada inazungumzia nini?
 
humu watu wanakuambia kweli kwa sababu hawajulikani ingekuwa wanajulikana wasingekuambia ukweli moja kwa moja.. unaweza kuta hata huyo anaesema akupendi asilimia 100 kumbe ndiyo huyo huyo unaejiaminisha ni mahabuba waswahili wasemavyo
 
Kama ni kushikwa mkono nicheki nitakushika tena yote miwili

Karibu
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Mimi:Kesho ukimaliza pepa una ratiba gani

Yeye:Naenda Bagamoyo kwa ancle wangu

Mimi:Then after

Yeye:Baada ya hapo Nitaenda home (Bk)

Mimi:Muda mrefu hatujaonana lakini na kumbuka tulipanga ukimaliza UE tutakuwa na muda mzuri wa kuongea kuhusu muelekeo wa mapenzi yetu

Yeye:Ni kweli mama Ila naona kidogo ishu ya hela inakuwa ngumu kwa upande wa nauli ya kuja Dom.
Tufanye kukutana stand ya dodoma angalau tusalimiane nitakapokuwa naenda Bk

Mimi🙁Kwa unyonge Sana ),Sawa.

""""Kuna kijana anakuja kwa kasi ya 4G nimemkataa kwa sababu sipendi kukuumiza kwa Mara ya pili
Pamoja na changamoto unazopitia wakati huu nimeamua kujifunza kukupenda kwa sababu una moyo mzuri uliojaa upendo , I see the bright future a head with u darling
Ila maswala ya mapenzi uyapi kipaumbele kabisa ,can u imagine mwaka mzima hatujaonana hata kwa kiss tu na kunishika mkono???? yet unasema unanipendaaa?,BABY UTANIPA LAWAMA[emoji24]
Sweetheart these words are razors to my wounded heart!!
 
Anaona una mzingua tu ....haiwezekani Mtu haujaonana nae mwaka mzima then iwe hana shauku ya kuonana nawe wakati anakupenda !!!!

Acha akajilie papuchi anayoipenda huko BK ..... (BwA hahaaa)
Yaani wanaume bwana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom