Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,591
Ooh kila la heri
Asante sana.
Ooh kila la heri
Ngoja nizame PM
Wewe ni nani?Nisikukute huko PM[emoji35]
[emoji23][emoji23] punguza stressHivi ni mimi sijaelewa au vipi!!! Hii mada inazungumzia nini?
Njoo PM mdada kuna kitu amazing ntakuambia
Usichelewe!!!!
[emoji23][emoji23] punguza stress
Ndiyo njoo kwani unaogopa nn??Mimi tena ndo nije?
Wewe ndo umeshapigwa chini.Kumbe [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] nampiga chini mchana huu huu
Nimeilike na kuikwoti hii makusudi hahaaaaThe guy has priorities, but you are not one of them!...mimi kama mwanaume nina uhakika asilimia tisini huyo jamaa hakupendi!
Ndiyo njoo kwani unaogopa nn??
Jf lahaaaaWewe ndo umeshapigwa chini.
Iko hivi...wanaume wengine na mimi nikiwemo hua hatupigi chini wanawake eti nikuambie(napiga chini kimya kimya)
Nitasubili zaidi yako mpaka uniache mwenyewe ili usiumie
Ntakachofanya ntaendelea kuwa na wewe nishakupiga chini utaona tu siko committed na hiyo love utajiongeza tu.
Saivi umebumbuluka eti umpige chini wakati wewe ulishapigwa chini kitambo.
JIONGEZE
Hamna mapenzi hapo