KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,292
Simu tunanunua, we papuchi unanunua wapi?Mi mwenyewe am wandaz...wanaume wanaojitambua hawalalamiki vitu vidogo kama hivi. Kama huna uwezo wa kumpa mwambie sina. Kama unao uwezo why usimpe? Tuhudumieni...hilo ndo jukumu lenu. Na kama huwezi kugaramia usijisumbue kutongoza. Kama nakupa mpapuchi muda wowote unaotaka why ukiombwa hela unalalamika? Acheni hizo banaa...ni jukumu lenu hata mkikataa. Ndo hivyo yaani haiwezi kubadilika.
Nasikilizia matusi sasa....kutoka kwa wavulana!
