Baby simu yangu imeharibika

Baby simu yangu imeharibika

Mi mwenyewe am wandaz...wanaume wanaojitambua hawalalamiki vitu vidogo kama hivi. Kama huna uwezo wa kumpa mwambie sina. Kama unao uwezo why usimpe? Tuhudumieni...hilo ndo jukumu lenu. Na kama huwezi kugaramia usijisumbue kutongoza. Kama nakupa mpapuchi muda wowote unaotaka why ukiombwa hela unalalamika? Acheni hizo banaa...ni jukumu lenu hata mkikataa. Ndo hivyo yaani haiwezi kubadilika.

Nasikilizia matusi sasa....kutoka kwa wavulana!
Simu tunanunua, we papuchi unanunua wapi?
 
Ivi wanaume mna matatizo gani? Yaani unataka uoigewe kwenye sim ambayo hujanunua? Mbona hamna wivu? Too sad
 
Basi shaka ondoa, ujumbe ushafika kwa RRONDO. Hujasema unataka simu aina gani? Unijibu haraka kabla huyo kaka jirani hajachukua simu yake

Huwa si date ombaomba....tena ombaomba wa simu na vocha na takataka nyingine ndogondogo ndio nina allergy nao kabisa.....siku mbili nyingi nishapaliwa!!!
 
Ajabu loh!!!!!!!!!!! kwanza mimi wananishangaza hata wanaume wanaopenda kupiga sim, kutuma msg kwa wanawake wakati hawajui sim mwanamke alinunuliwa na nani????

unataka ujibiwe msg wakati hujui bint vocha kawekewa na nani


Unataka kumpigia sim nunua yako mpe.

hahaaaaa lol km mabinti wote watakua km wewe si tutakipata cha moto mkuu -🙂
 
Hata kwny tongozo lazima uombwe ili mtu ajue unaenda kwake km asset or liability.. Ndo mambo mjini yanavyoenda ss hv.. Huyo wa kukaa kimya haombi mpk umfikirie labda bush sio town na akiwa town ni independent woman otherwise you have to provide.

mkuu km sio independent means ana lelewa na wazaz wake,,au una maana gan aisee???
 
Kama sina kwanini nisiombe mapema mana hata nyie madushe yenu hayatuii siku hizi siku ya kwanza tu unataka papuchi acha na mie niombe mapema hata ukipiga ukisepa no regrets coz hii ni aluu baba haina makombo nikiosha mpyaaa

aisee
 
Wakati una muaproach simu ilikua nzima kabisa.

Lakini baada tu ya kuanza mahusiano; ghafla simu inaharibika.

Hivi kwanini kina dada simu zenu zinaharibika baada ya kupata wapenzi wapya?

Jmn kuna cm kama ditel.tecno.itel.g-tide.g-five.bird.o king.gowin.p kang.yxtel
Izo ndio kazi yake.mtafutie nyekundu yenye maua maua .
ukimaliza haja zako na cm itakuwa imekuwa battery au mic.
ni wazo tu la kijasiriamali.
 
Wakati una muaproach simu ilikua nzima kabisa.

Lakini baada tu ya kuanza mahusiano; ghafla simu inaharibika.

Hivi kwanini kina dada simu zenu zinaharibika baada ya kupata wapenzi wapya?

mkuu umenigusa kabisa na mimi nilikuwa nafkiria kuleta mada kama hii, mimi kila demu ninaemtokea lazima tu nimnunulie simu au nimuongezee hela au nimpe cm yang mi ninunue nyengine cina ujanja.

yaani ni tabia mbovu sana waliyonayo kina dada, alafu izo voucher ndo usiseme kuna 1 mi nilimwambia kabisa nakununulia simu lakin voucher ni juu yako chagua unachotaka.
 
Mm hao ndo nawapenda Mbna tatizo dogo hlo mm s3 yngu inazunguka tu kwa madem zaidi ya sita tngu ni bun hyo mbinu asa wale wakutumia mchina ambao wanatamani sana whatsaap
Yaan madem wa cku hiz wajanja sana hvyo nawe unatmia ujanja tu yaan cheni ya dhaabu fki unauza nawe unapokea ela bandia ngoma droo km ww men nipm nkupe mbinu mana nkimwaga hapa itakuwa cyo mbinu tena
 
Back
Top Bottom