Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
atoto simu yako haijaharibika tu jamani?Kwani huwa kuna probation period ambayo vitu kama simu vinatakiwa visiharibike??
Last edited by a moderator:
atoto simu yako haijaharibika tu jamani?Kwani huwa kuna probation period ambayo vitu kama simu vinatakiwa visiharibike??
Hapo umeombwa simu tu
Siyo wote huomba siku ya kwanza. Kama najiamini kwa nini nikuombe siku ya kwanza. Siku ya kwanza naweza pima kina tu alafu basi. Siku nyingine ndiyo naweza kuja pima oil. Alafu siyo wote wenyewe tabia za kuomba siku ya kwanza. Ni vile wewe utakavyojichanganya.
Basi shaka ondoa, ujumbe ushafika kwa RRONDO. Hujasema unataka simu aina gani? Unijibu haraka kabla huyo kaka jirani hajachukua simu yakeSio kuharibika tu, bali imepotea kabisaaa, hapa natumia ya kaka jirani.
Hamna chochote wanaume wenyewe wa siku hz macho yenu yenyewe yako utosini yani mko juu juu.. Acha nikupige mzinga mwanzo tu ili kila mtu afe na chake nikiona mbahili huyoo nasepa mbona wanaotoa wapo tu..
Wanaume tutafute hela, hivi vitu kama simu ni vijimambo tu vidogovidogo. sasa boy kama una hela kweli simu ya laki nane kitu gani?.... wanawake hawa tumeumbwa tuwalee ebooooooo
Wastarabu wachache bado wapo. Kheri ni ipi sasa. Uniombe laki5 siku moja alafu iwe basi. Au kila wiki uniombe laki1 kwa miaka hata kumi?
Bora nichukue changu mapema coz najua hizo nyingine lazima ztakuja na excuses.. Chezea wanaume wa kibongo walivyo wasanii
Acha kusema chako mapema,kwani ulikiweka. Mwenye kutoa sababu ya kuhusu pesa mbele ya mwanamke huyo hana kitu. Aalfu kuwa mpole utakula vingi vizuri, ukiwa na papara utaumia au utapata vibovu.
Mi mwenyewe am wandaz...wanaume wanaojitambua hawalalamiki vitu vidogo kama hivi. Kama huna uwezo wa kumpa mwambie sina. Kama unao uwezo why usimpe? Tuhudumieni...hilo ndo jukumu lenu. Na kama huwezi kugaramia usijisumbue kutongoza. Kama nakupa papuchi muda wowote unaotaka why ukiombwa hela unalalamika? Acheni hizo banaa...ni jukumu lenu hata mkikataa. Ndo hivyo yaani haiwezi kubadilika.
Nasikilizia matusi sasa....kutoka kwa wavulana!
karibu nafasi zipo...aisee! nimekupenda bure!
karibu nafasi zipo...
Sijakiweka but ww unavyotaka kula papuch yangu uliiweka ? Nimetunzwa mpk nimekuwa mrembo ukanitamani na kunitongoza then u want to sweat on top of me for free u can't b seriously..
Kwan we ni yatima?!Ajabu loh!!!!!!!!!!! kwanza mimi wananishangaza hata wanaume wanaopenda kupiga sim, kutuma msg kwa wanawake wakati hawajui sim mwanamke alinunuliwa na nani????
unataka ujibiwe msg wakati hujui bint vocha kawekewa na nani
Unataka kumpigia sim nunua yako mpe.