Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,980
- 3,115
kwani wewe ni mganga ??
Ndio mim mganga wa maradhi yako ndio maana unaweza toa sim, gari na miamala bila kupinga.
kwani wewe ni mganga ??
Ndio mim mganga wa maradhi yako ndio maana unaweza toa sim, gari na miamala bila kupinga.
sijui kama kwa ubahiri nilionao nitakununulia hata vocha...!!!
Ngoja kwanza au labda uwezo wa kufanya hivyo sina....!!
Nitakuloga utahonga hadi viatu, utarudi kwenu peku
nitakua nakuja na ndala za bata hapo vip utaniroga ??
Hahahahaha!!!! Hapo sasa ndio utakuwa umeharibu, waganga hatataki umaskini.
Kwakua utakuwa hauna faida, itabidi ufanywe msukule uwe unaosha vyombo, kufua nk.
we mwanamke vipi mbona unapenda hela kama pochi kwa nini usiolewe na benki ??
kwangu utakula mgegedo tu hela kafanye kazi ndio maana mliambiwa msome sio muolewe
Wakati una muaproach simu ilikua nzima kabisa.
Lakini baada tu ya kuanza mahusiano; ghafla simu inaharibika.
Hivi kwanini kina dada simu zenu zinaharibika baada ya kupata wapenzi wapya?
Haaa!!! Pwesa ndio mpango mzima, nani hapendi pesa????
Mim na umaskini kama muuza bangi na difenda ya polisi, upo hapo MO11
Tukisema tusiolewe nyie si mtakuwa wehu mtaani, mnaweza kuishi bila sisi nyie??
Hahahahaha!!!! Yaah!!! Mnaweza pia maana hata sabuni zipo.kama kweli unapenda pesa fanya kazi pesa zipo za kuhongwa zitawatokea puani akina dada.....!!
Hivi hujui rafiki wa polisi ni muhalifu ??
Sisi tunaweza kuishi bila nyie
mbali na kujifunga tunaweza kufunga kwa mikono kama maradona......!