Hiyo Thread imegeuzwa.Maana yake ni kinyume kabisa.He is provoking discussion on her dress.Sasa amedhalilika na nini si ueleze?
Labda me sijaelewa, amedhalilishwa kivipi? amevuliwa hiyo nguo? na akienda mahakaman anaend kustaki nin kwanza!!?
thread nyingine hazina kichwa wala miguuu....hvi mtu anaejieshimu anaweza kuvaa kwa namna anayoonekana hapo
? biashara matangazo
Atakuwa mbunge wa viti maalumu
kwakweli lol
who is she?!
Naombeni namba yake,nahitaji kumvuruga!
Sijaelewa...au hayo madoti kwenye chakula ya mtoto..
Mtumia nguvu kusaka umaarufu ila nyota haijang'aa!!magazeti ya udaku yanajitahidi kumpaisha lakini ndo hivyo jina limebuma!
Baby madaha aende mahakamani.....wanawake wanapaswa wapewe heshima mbele ya jamii hawa ni mama zetu hawapashwi kudhalilishwa namna hii......huyu ni mama anapaswa kuheshimika kwa kweli.....
amedhalilishwa sana