Zamani nilikuwa naona bibi zangu na mama zangu wakiwa nyenyekea waume zao kwa dhati

kamjabari

JF-Expert Member
Mar 20, 2017
1,132
1,640
Kipindi nikiwa mdogo nilikuwa naona bibi zangu na mama zangu wakiwa nyenyekea waume zao kwa dhati .

Yaani akina bibi waliwawanyeyekea sana babu zetu ,hali kadharika na mama zetu walikuwa ni wanyenyekevu na wenye kujari sana waume zao kinyume na sasa ambapo wanawake wengi wanazingatia pesa na si utu na heshima inayo stahili kwa waume zao.

Hii imepelekea hata watoto wanao kua sasa na kuona mienendo ya maisha ya wazazi au majirani na wao heshima na maadili kupukuchuka kwa kiwango kisicho faa.

Hii 50/50 imetuharibia sana wanawake ,hizi tamaduni za wazungu hazitufai sisi waafrika ,tuanze kuludisha tamaduni zetu .
20240114_170354.jpg
 
Kilicho badilika ni watoto wa kike kusomeshwa ili waendeleze familia zao...

Zamani mtoto wa kike anaolewa...anahamia Kwa mume ..
WA kiume ndo anasomeshwa na kundeleza familia....

These days msichana anamaliza chuo anabaki mjini anadanga na anatuma hela kwao....zamani wazazi walikuwa hawategemei binti awatumie hela akishaolewa
 
Mkuu unataka kuondoa 50/50 uhudumie mwanamke 100% halafu um control 100% pia, siyo?
Majukumu ya mwanamke yanajulikana kiasili ,ku care family ,na majukumu mengine ya kiuchumi yanayo asisiwa na mme au wote wawili ,kama kampuni ,biashara .tena vinakuwa chini ya familia kwa kuongozwa na mme.

Hii habari ya mke kuajiriwa mbali na kusema mshahala wake ni binafusi ila alitafuta mme ni vyawote napingana na hiyo mambo.
 
Majukumu ya mwanamke yanajulikana kiasili ,ku care family ,na majukumu mengine ya kiuchumi yanayo asisiwa na mme au wote wawili ,kama kampuni ,biashara .tena vinakuwa chini ya familia kwa kuongozwa na mme.

Hii habari ya mke kuajiriwa mbali na kusema mshahala wake ni binafusi ila alitafuta mme ni vyawote napingana na hiyo mambo.
Nakupata.

Ila mke akiajiriwa mbali na kusema mshahara wake ni wa familia na atapanga na mume jinsi ya kuutumia hapo vipi? Utakuwa poa?
 
Nakupata.

Ila mke akiajiriwa mbali na kusema mshahara wake ni wa familia na atapanga na mume jinsi ya kuutumia hapo vipi? Utakuwa poa?
Mara nyingi ,uzoefu umeonyesha asili ya wanawake alipata kitu kinakuwa chakwake.

Yaani unaweza kumpa mkeo pesa kwamba nimekugaia hii utafanyia jambo litakalo kupendeza . Ikitokea bahati mbaya umetingwa unahitaji akuazime hiyo pesa ni lahisi kukwambia hana na au ukaipata kwa taabu
 
Mara nyingi ,uzoefu umeonyesha asili ya wanawake alipata kitu kinakuwa chakwake.

Yaani unaweza kumpa mkeo pesa kwamba nimekugaia hii utafanyia jambo litakalo kupendeza . Ikitokea bahati mbaya umetingwa unahitaji akuazime hiyo pesa ni lahisi kukwambia hana na au ukaipata kwa taabu
Hujajibu swali langu lakini.

Nimeuliza hivi

Ila mke akiajiriwa mbali na kusema mshahara wake ni wa familia na atapanga na mume jinsi ya kuutumia hapo vipi? Utakuwa poa?
 
Hujajibu swali langu lakini.

Nimeuliza hivi

Ila mke akiajiriwa mbali na kusema mshahara wake ni wa familia na atapanga na mume jinsi ya kuutumia hapo vipi? Utakuwa poa?
Itakuwa ni vyema .

Ila nimuhimu kujua asili inasemaje . Ili kesho na keshokutwa usoje ukalia
 
Itakuwa ni vyema .

Ila nimuhimu kujua asili inasemaje . Ili kesho na keshokutwa usoje ukalia
Kwenda kwa kuangalia asili inasemaje ni logical fallacy, inaitwa "appeal to nature".

Ungefuata asili kikweli hata hii internet usingetumia.

Ungetumia moshi wa vifuu kutuma ujumbe utufikie wote duniani.

Moshi wa vifuu ni jambo la kiasili zaidi ya internet.
 
Kwenda kwa kuangalia asili inasemaje ni logical fallacy, inaitwa "appeal to nature".

Ungefuata asili kikweli hata hii internet usingetumia.

Ungetumia moshi wa vifuu kutuma ujumbe utufikie wote duniani.

Moshi wa vifuu ni jambo la kiasili zaidi ya internet.
Tunaweza kutumia vizuri Internet, Ndege,Na vifaa vyote mujimu vinavyo tuwezesha kulahisisha maisha yetu.

Lakini tukabaki na heshima na maadili ya ndoa ,familia na jamii kwaujumla.
 
Tunaweza kutumia vizuri Internet, Ndege,Na vifaa vyote mujimu vinavyo tuwezesha kulahisisha maisha yetu.

Lakini tukabaki na heshima na maadili ya ndoa ,familia na jamii kwaujumla.
Sawa. Huhitaji hoja ya "asili" hapo.

Kiasili watu hawakuwa na ndoa, walizaliana kibabe tu.
 
Kipindi nikiwa mdogo nilikuwa naona bibi zangu na mama zangu wakiwa nyenyekea waume zao kwa dhati .

Yaani akina bibi waliwawanyeyekea sana babu zetu ,hali kadharika na mama zetu walikuwa ni wanyenyekevu na wenye kujari sana waume zao kinyume na sasa ambapo wanawake wengi wanazingatia pesa na si utu na heshima inayo stahili kwa waume zao.

Hii imepelekea hata watoto wanao kua sasa na kuona mienendo ya maisha ya wazazi au majirani na wao heshima na maadili kupukuchuka kwa kiwango kisicho faa.

Hii 50/50 imetuharibia sana wanawake ,hizi tamaduni za wazungu hazitufai sisi waafrika ,tuanze kuludisha tamaduni zetu .View attachment 2879626

Kuandika kwenyewe hujui halafu unataka unyenyekewe,
Ujinga ujinga mtupu.
 
Majukumu ya mwanamke yanajulikana kiasili ,ku care family ,na majukumu mengine ya kiuchumi yanayo asisiwa na mme au wote wawili ,kama kampuni ,biashara .tena vinakuwa chini ya familia kwa kuongozwa na mme.

Hii habari ya mke kuajiriwa mbali na kusema mshahala wake ni binafusi ila alitafuta mme ni vyawote napingana na hiyo mambo.
seems unapenda kamteremko..tafuta hela bro
 
Back
Top Bottom