Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,158
- Thread starter
- #41
Delete kabla husni hajasoma!
jamani kuna nini tena hapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Delete kabla husni hajasoma!
Hehehe, tuhame wote.Unaitwa na Boss kule MMU hebu hama bana.
Unatudanganya bwana
Hakuna tatizo wifi, tuko poa kabisa.jamani kuna nini tena hapa?
To love and feel Loved.... What a wonderful feeling..
Kama Tanmo ameshaona kitovu najitoa kwenye kinyang'anyiro lol!ni TANMO huyo, sasa kazi ninayo sijui nimpende nani hapa.Ngoja niwaite mawifi zangu waje kunisaidia
Hakuna tatizo wifi, tuko poa kabisa.
Si ndio mana namzimia, hata iweje siwezi kumuacha!
it might be me!
Kama Tanmo ameshaona kitovu najitoa kwenye kinyang'anyiro lol!
Hahaha! Acha kumsema bamkwe wangu atajing'ata bana!sasa hujamuona mdingi hasheem thabit cha mtoto
Hata hivyo nilikuwa nazugazuga tu natafuta namna ya kumdedicate....teh teh
Amy umeona hiyo mesage?? Kaiweka Kaby ila ni special for from Eb52
Hehehe, tuhame wote.
Afu wewe unapenda kweli kunichonganisha na my sweetlove, nikiachika nakufuata mpaka kwenu!Hahhahaa eti DELETE HARAKA KABLA HUSNA HAJAIONA....LOL
Ngoja nimwite Nitonye nae aone
Zawadi yako utaikuta ukija Geneva of Africa.....hehe mambo ya kufall hayo nipe dhawadi ili nimpe somo akuelewe zaidi
Hakuna tatizo wifi, tuko poa kabisa.
Nitonye kaenda tena kwenye dharura, hata sijaagwa mwaya. Dalili za mapenzi kuchuja hizi lol..uhame na nani? Msake nitonye wako uporoto wa kwangu lol
Kama Tanmo ameshaona kitovu najitoa kwenye kinyang'anyiro lol!