Baby can i hold u tonight....

Baby can i hold u tonight....

ok will try my level best sasa zombie mwenyewe ndo nani ili nikimuona nimlengeshe kwa kongosho akiwa in a need ya ku holdiwa as in a month a woman huwa anapata hamu ya kuwa holded na hot baby.
unaona sasa umekuja na li IDEA
ngoja nimwite the master mind himself watu8 aone hapa tunaweza kufanya hilo
BIG RESULTS NOW ujue
 
Last edited by a moderator:
unaona sasa umekuja na li IDEA
ngoja nimwite the master mind himself watu8 aone hapa tunaweza kufanya hilo
BIG RESULTS NOW ujue

mtani nimesikia kuitwa na sauti yako...maana nilikuwa naikimbia hii sredi nisijetiwa majaribuni mimi...
 
Last edited by a moderator:
Usimfuatishe huyu, atakupoteza.

Can u imagine leo kaenda simamia site kwangu 🙂, he he he, siri yako lakini.

hilo la kwenye mabano ya makisi kisi hilo ndilo mimi na wezangu wa #team zombie tunakomaa nalo kweli toka mwaka huu uanze
ingia basi kwenye team yetu
tupo mimi watu8, King'asti, BADILI TABIA, Nicas Mtei , Kaizer na ehehehhehe Kongosho mwenywe!
si haba tupo hatua nzuri so kazi haitakuwa kubwa sana
 
Last edited by a moderator:
He he he, mnunue na themometa ya kupimia when am hottest

unaona sasa umekuja na li IDEA
ngoja nimwite the master mind himself watu8 aone hapa tunaweza kufanya hilo
BIG RESULTS NOW ujue
 
Last edited by a moderator:
Usimfuatishe huyu, atakupoteza.

Can u imagine leo kaenda simamia site kwangu 🙂, he he he, siri yako lakini.

ahahahahahhahah chezeya baba mwenye nyumba!
mi love zombie mingi mingi!
ahahahhaha
hiv we ulifkr muda wote ule alikuwa mjinga enh!
eti namtuma hata chipsi mayai anapeleka!
amekuwa MSOSI FASTA huyo!
sipati picha ulivokuwa unajifanya umesahau ramani ya bed room ulitaka ikaaje!ukapiga simu
ile like ''dear (af kimoyomoyo unasema darling)hv haya madirisha hapo yamekaa sawa kweli!"
alivokata ukaanza kuimba taarab ya mpenzi chocolate!
 
He he he, mnunue na themometa ya kupimia when am hottest

uzuri team yetu imekamilika kila idara
idara ya urembo na kukubadilisha uwe unavaa skin tight na denim za rangi ni King'asti
idara ya usafiri ni watu8
idara ya feza na mipango miji Kaizer atakuwa anakuoyesha hotels nzuri
idara ya mahabat na makuchkuch hotae ni Mkunde Original
idara ya kampeni,itifaki,wajibu wa kijamii nasimama mwenyewe!
idara ya ulinzi,khee tunahakikisha zombie haibiwi wewe sio wajinga sisi tufanye kazi miaka yote hii af zombie wammendee!anasimama Nicas Mtei!
 
Last edited by a moderator:
hivi hii nyimbo kaimba Tracy Chapman, i meant yeye ndio mtunzi?...
 


Don't be afraid of the way you feel.
Mmmmmmmmmmmmmm, yeah.
It's real love. Boy.
Don't be afraid of the way you feel.
Uh, uhhhhh, uh, uh, uh.
It's real love.
Uh, uh, uh.


I know it's not the first time
That you've ever felt this way before.
Oooh. But those memories are still lasting
Of the pain you got for your trusting,
So when love calls, you walk out the door.
Oh, but this time, boy,

Don't be afraid of the way you feel.
Don't be afraid now.
Open your heart and you'll see it's real.
Ooooh, it's real love.
Don't be afraid of the way you feel. (Oh, oh.)
Don't be afraid now, baby.
It's real love.
Ohhhhhhhhhh, oh, oh, oooh, oh, oooh, ohhh.

I'm not the one to hurt you, boy,
And with love, there's no real guarantee.
If you believe in what you're feeling
And you wanna make love to me,
Oh, baby-y-y-y-y-y-y-y-y-y-y-y-y-y-y-y-y-y-y.
(Don't be afraid of the way you feel.) Yeah, baby.
(Open your heart and you'll see it's real.)
Oooooooh, oh, oh, oh. (It's real love.)
It's time to do it right.
(Don't be afraid of the way you feel.) Oh, oh.
I need you tonight. I need you right now.
(It's real love.) Oh, ohhhhhhhhhhh.
Now what you got to say, baby, yeah.

Darling, you know it's hard for me sometimes to put my feelings into words. (Oooh, yeah.)
And I know because of all the hurt in my past, (Oh.) I
intend to shy away from emotional commitments.
But what I feel for you is so real and so strong.
(Yeah, yeah, yeah, yeah, yeah, yeah.)
I couldn't walk away even if I wanted to, so baby, I'm yours.

(Don't be afraid of the way you feel.)
Oooooooh, yeah, yeah, baby.
Open your heart and you'll see it's real.
Ooooh, it's real love.
Don't be afraid of the way you feel.
I'm not the one to hurt you,
(It's real love.) So open, open, open, open and give your love to me-e-e-e-e-e-e-e-e-e-e, ba-a-a-a-a-a-a-a-a-a-a-a-a-a-a-a-a-a-aby.
(Don't be afraid of the way you feel.)
(Open your heart and you'll see it's real.) Yeah, baby.
(It's real love.) Real, real love.
(Don't be afraid of the way you feel.)
Oh, I need you tonight. I need you right now.
(It's real love.) Come on, baby.
Come on, baby. Give your love to me, ba-a-a-a-a-a-a-a-a-a-a-a-a-aby.

I need you by my side, boy.
Oh, oh. Let's make it last forever.
(It's real love.) Don't be afraid.
Don't be afraid. Don't be afraid now, baby.

Don't be afraid of the way you feel.
Oooh, oh, oh, oh.
(Open your heart and you'll see it's real.)
I'm not the one to hurt you, boy. (It's real love.)
Oh, oh, ooooh, yeah.
(Don't be afraid of the way you feel.) Don't, baby.
Open your heart.
(It's real love.) Come on, baby. Come on, baby.
Let's make it last foreve-e-e-e-e-e-e-e-e-e-e-er.
(Don't be afraid of the way you feel.)
Time is right tonight.
(Open your heart and you'll see it's real.) I need to,
(It's real love.) I need to, I need to hold you ti-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-i-ight.
(Don't be afraid of the way you feel.)
It's real love.
 
Last edited by a moderator:
Mmmh hi ya kwako leo sio tamu mbona??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom