Babu yangu..

Babu yangu..

umenikumbusha enzi za fuko na ngawa na vilochindi na makoru na nduu na sowe na mafido na pichini na nuka na kiumbo na visoia na masale na mawiri n.k n.k

mkuu ongeza kwenye list.... kibobori, fiberee...,matungusha....fikwaa......kitalolo..... ngayaya...kiroroma......
 
Hahah...njilaichiny...kumbe nyi isembo eeh!??
but u know what they said, "It takes a fool to know a fool" hahahaha...juskidding
hahaha,bila shaka nyinyi ni wachaga wa oldmoshi,hahaha karibuni Mjohoroni
 
hahaha,bila shaka nyinyi ni wachaga wa oldmoshi,hahaha karibuni Mjohoroni

Haha..umejuaje mkuu!?? basi tukutane onyonya..ama mjohoroni iko karibu na Stop n shop zaidi!??lol
 
Haha..umejuaje mkuu!?? basi tukutane onyonya..ama mjohoroni iko karibu na Stop n shop zaidi!??lol
Unatoka mjohoroni,then kwa Mbwaruki,unakuja kitu cha Mambo bado ,unajitia Sha-tourz,Hivi stop and shop bado wanachoma nyama aisee? Unyonya ukunyonze ndio balaaa,Ila mimi nadhani Meeting Point pako poa zaidi bwana,,,hahahahahaha,Mentor umenirudisha home kabisa yani
 
Unatoka mjohoroni,then kwa Mbwaruki,unakuja kitu cha Mambo bado ,unajitia Sha-tourz,Hivi stop and shop bado wanachoma nyama aisee? Unyonya ukunyonze ndio balaaa,Ila mimi nadhani Meeting Point pako poa zaidi bwana,,,hahahahahaha,Mentor umenirudisha home kabisa yani
Hapo ni mbwa haruki nilisikia!??
Mh..icho kituo cha mambo bado ndo kikwapi?
Meeting point kunakuwaga na walimu wa mjengo sec..sipendi kujongea huko xana!
ila siku hizi kuna Mr. Price City eti...karibu Moshi!!!
 
umenikumbusha enzi za fuko na ngawa na vilochindi na makoru na nduu na sowe na mafido na pichini na nuka na kiumbo na visoia na masale na mawiri n.k n.k

mkuu kichaga hakiandikw hivyo (kilochindi-kdhoshindi)haika mwana ndieakwa duendeleze lugha yedu mbohamboha tena ire besa dufutwe kozi ya kshaka mwalimu mkuu ive ngaktunuku mbe
 
Hapo ni mbwa haruki nilisikia!??
Mh..icho kituo cha mambo bado ndo kikwapi?
Meeting point kunakuwaga na walimu wa mjengo sec..sipendi kujongea huko xana!
ila siku hizi kuna Mr. Price City eti...karibu Moshi!!!
Mr Price city kiko mitaa gani? nadhani kitakuwa level sawa na Salsanero au glaciers sijui nimepatia kuandika,Natimba dis december mkuu pande hizo
 
Mr Price city kiko mitaa gani? nadhani kitakuwa level sawa na Salsanero au glaciers sijui nimepatia kuandika,Natimba dis december mkuu pande hizo

Iko jengo la ABC opposite na tanesco kabisa..!! wameparemba usipime!!!
 
Back
Top Bottom