Babu wa Loliondo:- Utabiri wake umetimia

Babu wa Loliondo:- Utabiri wake umetimia

Nero

Member
Joined
Apr 24, 2012
Posts
93
Reaction score
21
Kipindi Fulani wakati anagawa kikombe niliwahi kumsikia akisema siku za baadae watu kutoka maeneo mbalimbali watafurika tena SAMUNGE hata kama siyo kwa sababu ya dawa.

Hivi karibuni kumegundulika mgodi wa dhahabu huko SAMUNGE na maelfu ya watu wameanza kuwasili kijijini hapo kwa ajili ya kujipatia risiki.

Najaribu kuupload picha ya mkusanyiko wa watu mtandao inagoma.

Nawasilisha.
 
Nasikia kuna dhahabu ya kumwaga huko.
 
Babu aliHit sana kipindi chake kwenye chati za juu, mimi mwenyewe namfagilia
 
kuna rafiki yangu leo mchana amenipigiya cm na kuniambia watu wanachota pesa huko,walioko huko tupe updates kama vp tuje.
 
Sijui na mie nifunge safari niende huko?maana hizi shidaaa!!!!
 
babu yuko vzr sana kwa utabiri. ubarikiwe kwa kuwatabiria neema wanaSamunge.
 
Hamna Mtanzania mwenye IQ kubwa kama Babu. Anaebisha abishe lakini ndio ukweli.
 
wameanza lini tena kuchimba loliondo jamani
 
Back
Top Bottom