Updates:- watu zaidi ya 5000 kutoka kila kona ya nchi wameweka kambi eneo la machimbo na wanaendelea kumiminika. baadhi ya changamoto kama vile ukosefu huduma za afya, uchafuzi Wa mazingira n.k. serikali iweke mkono ktk hili.
Shosti nipitie twendr wote!
Mnaenda kufanya nn mabindi ninyi? au ndo kutoa huduma? msithubutu wazee wa kule wametoa tamko juu ya wizi na hayo mambo ya game.Madini yatapotea.
Karibu Samunge
Mkuu upon anga zipi? Muda si mrefu nitaweka kambi hapo kwa Babu Samunge.