Saint Ivuga,teh teh........Unahisi ni babu gani wa humu JF??
huyu babu atakuwa ni Asprin hahahahahahahahahHumu kuna babu wengi.......unaweza kuhisi ni nani???
Huyu atakuwa ni...........
Mimi sijawa bado Babu ki miaka nina 47 sijafaa kuitwa Babu hahahahhah bado kijanaKumbe humu hamna babu zaidi ya Asprin!
Huyo ndio uzuri wa kuwa na choices,
Wiingi wa wababu wa JF umewapa wajuku maji ya kutosha ili wajifunze kuongelea,
Ila bwawa la mwenzetu ASA naona limejaa vibata vidogo vidogo vinaogelea!!
Hongera sana mzee mwenzetu,
Babu DC!!
Husni.....