Jamii Forum bwanaAta kasura Kake kamekaaa kiurogi rogi
Inapendeza kuona mtu anacoment mtazo wake freeJamii Forum bwana
Ile mikoba nadhani kamwachia nanii wa jf
hahahaaAta kasura Kake kamekaaa kiurogi rogi
Imefanyaje mkuuJamii Forum bwana
Vipi Kassim Mganga mbona bado anapetaAisee huyu jamaa itakuwa anafanya kazi mbili nini mana msanii ukikataa kukaa chini yake hata uwe na kipaji kama michael Jackson utadorora rejea kwa keisha tundaman na wengine wengi