Mimi nadhani mahakama zetu badi zinajikongoja. Kwa hali hii inaonekana wengi wapo magerezani bila hatia. Hawa wawili walioachiwa huru inaonekana walihukumiwa bila kosa, sasa je tujiulize huko magerezani kuna watu wangapi wa namna hii na hawawezi kukata rufaa? Inabidi mfumo wetu wa mahakama hapa nchini uangaliwe upya. Au wapewe Majembe Auction Mark?
Kurudishwa kwa nguza na papii sililipingi ila ninawasiwasi mkubwa kama walitendeawa ndivyo, ina maana kwa makosa yao kama yanavyofikiriwa ni
lazima wafungwe maisha? Hamna hukumu nyingine? Waliuoa Maalbina wafungwe maisha, Waliolawiti na kubaka wafunwe maisha, je kuna balance hapo?Mimi nadhani Wangepewa hata 30 ili waweze kujirekebisha. Pia tunaposema kifungo cha maisha ni miaka mingapi? Tunaamini pia hata mtu akifa hua anaendelea kuishi kiroho, hapo napo kifungo kinaendelea?
Unajua jamii ndio msema kweli, pia kilio cha watu wengi hua ni kikali sana. Ukisikia kila mmoja analalamika ujua kuna jambo hapo. Wapo wengi wanahukumiwa lakini jamamii hailalamiki pia wapo baadhi huachiwa lakini pia jamaii hulalamika. Ukiona watu wengi wanalalamikia jambo basi ujue haki haikutendeka. Tatizo kubwa la sheria, kama hujui kujitetea hata kama hukutenda kosa, basi unaweza kuhumiwa kifo ukiwa unaona.
Ila Mungu hua hafichwi kitu, kama haki haikutendeka yeye atalipa. Ila kama pia kuna mkono wa mtu asiyemwogopa Mungu basi atajibu yeye mwenyewe kwake Muumba.
Kurudishwa kwa nguza na papii sililipingi ila ninawasiwasi mkubwa kama walitendeawa ndivyo, ina maana kwa makosa yao kama yanavyofikiriwa ni
lazima wafungwe maisha? Hamna hukumu nyingine? Waliuoa Maalbina wafungwe maisha, Waliolawiti na kubaka wafunwe maisha, je kuna balance hapo?Mimi nadhani Wangepewa hata 30 ili waweze kujirekebisha. Pia tunaposema kifungo cha maisha ni miaka mingapi? Tunaamini pia hata mtu akifa hua anaendelea kuishi kiroho, hapo napo kifungo kinaendelea?
Unajua jamii ndio msema kweli, pia kilio cha watu wengi hua ni kikali sana. Ukisikia kila mmoja analalamika ujua kuna jambo hapo. Wapo wengi wanahukumiwa lakini jamamii hailalamiki pia wapo baadhi huachiwa lakini pia jamaii hulalamika. Ukiona watu wengi wanalalamikia jambo basi ujue haki haikutendeka. Tatizo kubwa la sheria, kama hujui kujitetea hata kama hukutenda kosa, basi unaweza kuhumiwa kifo ukiwa unaona.
Ila Mungu hua hafichwi kitu, kama haki haikutendeka yeye atalipa. Ila kama pia kuna mkono wa mtu asiyemwogopa Mungu basi atajibu yeye mwenyewe kwake Muumba.